Recent content by mwajuma270

  1. M

    GE2020 Urais ni taasisi na cheo cha hadhi kubwa sana, hatuwezi kukigawa kwa huruma wala kwa muongo

    Watanzania tujipange kuwapima wagombea wetu kwa hoja na tufanye maamuzi ya busara tarehe 28/10/2020 ya kumchagua kiongozi atakae tuletea maendeleo pamoja na kuliweka taifa letu katika hali ya amani na utulivu wakati wote.Hakuna kiongozi kutoka nje ya tanzania atakae tuongozea nchi yetu.Tuwe...
  2. M

    Uzinduzi wa kampeni za CCM Zanzibar: Mwinyi kuhakikisha Zanzibar inanufaika na bahari, kuleta Upendo na amani

    Kwa hakika kila jambo na wakati wake ule wakati ambao watanzania waliusubiri ili waweze kufanya maamuzi yao ya kuwachagua viongozi wenye hoja madhubuti na kuwaacha vibaraka na wasaliti wa nchi ndio huu sasa.Hivi tunawezaje kumchagua mtu ambae ana hubiri uvunjifu wa amani kwa taifa letu ana...
  3. M

    GE2020 Takwimu hazidanganyi: CCM wameshashinda Uchaguzi kwa Idadi ya Kura za Kanda ya Ziwa

    Hpo wamepewa takwimu basi kama wanajua na wana hija wajibu kwa takwimu sasa wao tunajua kazi yao ni mitusi tuu hawana data ni kelele tuu
  4. M

    Ni kama alivyosema Juliana Shonza, Mbowe must be disposed

    Hata wao wanajua ila hawataki kukubali tuu
  5. M

    Ni kama alivyosema Juliana Shonza, Mbowe must be disposed

    CHADEMA wamepoteza hamasa katika mikutano yao, wamepoteza mvuto kwa wananchi, wamekosa ajenda na hawana sera. Sio coverage ya TBC, ITV, Clouds TV ama media yeyote ile inaweza kuwasaidia kwasasa. Narudia tena kuwa Kampeni ni maarifa, mipango na akili, CHADEMA WAMEKOSA VYOTE....!! "
Back
Top Bottom