Recent content by MwajabuOmary

  1. MwajabuOmary

    Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Yeoyote anaekuja na hoja za udini tambua kwamba hana uwezo wa kujibu hoja zinazoibuliwa na watu wenye akili. Mtu akishindwa kujibu hoja anakambilia kwenye udini kama kichaka chao cha kujificha.
  2. MwajabuOmary

    Bunge la Ulaya lituletee azimio la kulaani vifo wakati wa ukoloni Tanzania

    Ndugu zangu Watanzania, naombeni niwaulize kidogo, ni wapi tunashindwa kujibu hoja za upande wa pili na badala yake tunaanza kuibua hoja ambazo hazipo kwenye mada. Ni kweli tulikwenda shule tukaelimika au tulikua watoro. Nimelileta hili kwa sababu naona watu badala ya kujibu hoja zilizopo mezani...
  3. MwajabuOmary

    Mimi Kama Gen- Z naona aibu kwa kilichotokea jana Tulikurupuka sanaa naomba Samia na Watanzania wote mtusamehe

    Du eti wameipa serikali ushindi wa bure, Hivi umekaa ukatafakari garama ambazo serikali imeingia kupambana na suala hili au mnazungumza tu
  4. MwajabuOmary

    PostGE2025 Gerson Msigwa: Tanzania haiwezi kupewa maelekezo na CNN. Huwezi kutengeneza makala kwa ushahidi wa video za WhatsApp

    Miongoni mwa watanzania wanaopitia wakati mgumu ni pamoja nahuyu boss, yaani as if yeye peke yake ndio anamacho hapa tanzania wengine wote vipofu
  5. MwajabuOmary

    Maxence Melo: Ofisi za JamiiForums, Mikocheni 'zimevamiwa'

    Hii nchi ina maigizo sana, mpaka leo hakuna cha maana wakichokifanya kumtafuta mdude lkn mtu kikosoa serikali inakua nongwa, tutafika mbinguni tuko hoi sana
  6. MwajabuOmary

    Samia: Mohammed Interprises na WATCO kazi imewashida

    Mazungumzo baada ya habari
  7. MwajabuOmary

    GE2025 PICHA: Rais Samia aitetemesha Tunduma. Helikopta zatanda angani na kuteka anga zima la mkoa wa Songwe. Apokelewa kishujaa

    Na ukumbuke zaidi ya wananchi 1500 wanaozunguuka na mabasi ya mbunge yule
  8. MwajabuOmary

    GE2025 Mdau: Rais Samia kwa sasa anamalizia awamu ya Magufuli, kwahiyo bado anamiaka yake 10 ya kuwa Rais

    Unajua kuna watu bado wanachamba kutumia majani ya miti. Kwa katiba ipi
Back
Top Bottom