Yeoyote anaekuja na hoja za udini tambua kwamba hana uwezo wa kujibu hoja zinazoibuliwa na watu wenye akili.
Mtu akishindwa kujibu hoja anakambilia kwenye udini kama kichaka chao cha kujificha.
Ndugu zangu Watanzania, naombeni niwaulize kidogo, ni wapi tunashindwa kujibu hoja za upande wa pili na badala yake tunaanza kuibua hoja ambazo hazipo kwenye mada. Ni kweli tulikwenda shule tukaelimika au tulikua watoro. Nimelileta hili kwa sababu naona watu badala ya kujibu hoja zilizopo mezani...
Hii nchi ina maigizo sana, mpaka leo hakuna cha maana wakichokifanya kumtafuta mdude lkn mtu kikosoa serikali inakua nongwa, tutafika mbinguni tuko hoi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.