Ungekua serious na nchi yako ungetuambia hatua zilizokwisha kuchukuliwa dhidi ya mafisadi waliohujumu nchi hii kupitia ripoti za CAG. Yaani milioni mia tatu zinakuuma wakati kuna mabilioni kwa matilioni zimepotea. Za heche ndio chungu sana
Huyu mama siku hizi hata simuelewi hoja zake, ni kweli tunao uwezo wa kujitegemea kibajat au anaongea tu.
Ni vile tu bajet yetu ni ya kimtindo lkn, lkn, lkn
Paschal Mayala, habari za asubuhi,
Kama mwandishi nguli wa habari, taarifa yako ni yakutaka uteuzi kwa asilimia mia moja 100%) vingenevyo ungekua unamaanisha kwamba sio kwa ajili ya uteuzi basi ungeibalance story story yako. UNATAFUTA UTEUZI WA UZEENI
Binafsi naona ni kama mkakati wa kichama kupitia uzanzibary. Na kilichonishangaza zaidi ni kwa nini mkuu wa muhimili ule arufusu mafumbo kwenye taasisi yake na kuingizwa kwenye hansad ya mjengo wao bila kutaka ufafanuzi, lkn pia wabunge wetu kutotoa taarifa na kushangalia,
Wasijaribu kuonja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.