Recent content by MwajabuOmary

  1. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Mimi Pascal Mayalla Sipongezi Kutafuta Uteuzi Wowote!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine Kumtia Moyo Kwa Mazuri ya Kweli!

    Paschal Mayala, habari za asubuhi, Kama mwandishi nguli wa habari, taarifa yako ni yakutaka uteuzi kwa asilimia mia moja 100%) vingenevyo ungekua unamaanisha kwamba sio kwa ajili ya uteuzi basi ungeibalance story story yako. UNATAFUTA UTEUZI WA UZEENI
  2. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Huyu Simai katumwa?-The Zanzibari Collusion

    Binafsi naona ni kama mkakati wa kichama kupitia uzanzibary. Na kilichonishangaza zaidi ni kwa nini mkuu wa muhimili ule arufusu mafumbo kwenye taasisi yake na kuingizwa kwenye hansad ya mjengo wao bila kutaka ufafanuzi, lkn pia wabunge wetu kutotoa taarifa na kushangalia, Wasijaribu kuonja...
  3. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Ninaunga mkono kutumbuliwa kwa kiongozi mwandamizi tuliyedokezwa na mbunge Sumai

    Hata mtoto wa KG 2 hawaezi kuandika utumbo huu
  4. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ally Hapi: Msigwa alikuwa anasubiri kupata ukuu wa wilaya akaona hauji

    Kwa nini hakuyasema haya mapema?
  5. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli mawakili wanaridhishwa na uongozi wa sasa wa TLS basi Kuna shida kubwa, nawashauri nendeni tena shule

    Na awamu ijayo tutamchagua tena kwa kishindo
  6. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Joseph Sinde Warioba alipewa kalamu ya Katiba lakini aliandika hisia zake

    Badala ya kujibu hoja za mzee warioba wewe ndio umekuja na hisia zako, jichunguze kabla ya kuandika
  7. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kujua ofisi za Speedaf Express zilipo

    Changamoto hapa ni ofisi za speedaf express hapa Dar es salaam na sio Aliexpress
  8. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kujua ofisi za Speedaf Express zilipo

    Habarini waungwana, Ni matumaini kwamba watu watakua kwenye maandalizi ya sikukuu ya Pasaka. Tafadhali napenda kuwajulisha kwamba kampuni niliyoitaja hapo juu inajihusisha na upokeaji na usambazaji wa mizigo inayotoka nje na hasa bidhaa zinazo nunuliwa kwa njia ya mitandaoni. Ni kwamba...
  9. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania The matter concerning Lissu will be dealt with by the court accordingly

    Suala la Lisu kwa mwanasheria hata wa mwaka wa kwanza tayali anajua hata content za ndani ya kitabu kwa kusoma coverpage yake peke yake
  10. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Hivi udini wa Samia Suluhu uko wapi? Tuzungumze ukweli

    Yeoyote anaekuja na hoja za udini tambua kwamba hana uwezo wa kujibu hoja zinazoibuliwa na watu wenye akili. Mtu akishindwa kujibu hoja anakambilia kwenye udini kama kichaka chao cha kujificha.
  11. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Je, ni nani aliyeharibu CHADEMA kati ya Mbowe aliyepeleka wanachama Bungeni na Lissu aliyeondoa wanachama Bungeni?

    Mleta mada ni kipi usichokijua au unajitoa ufahamu
  12. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ulaya lituletee azimio la kulaani vifo wakati wa ukoloni Tanzania

    Ndugu zangu Watanzania, naombeni niwaulize kidogo, ni wapi tunashindwa kujibu hoja za upande wa pili na badala yake tunaanza kuibua hoja ambazo hazipo kwenye mada. Ni kweli tulikwenda shule tukaelimika au tulikua watoro. Nimelileta hili kwa sababu naona watu badala ya kujibu hoja zilizopo mezani...
  13. MwajabuOmary

    JamiiForums Tanzania Mimi Kama Gen- Z naona aibu kwa kilichotokea jana Tulikurupuka sanaa naomba Samia na Watanzania wote mtusamehe

    Du eti wameipa serikali ushindi wa bure, Hivi umekaa ukatafakari garama ambazo serikali imeingia kupambana na suala hili au mnazungumza tu
Back
Top Bottom