Paschal Mayala, habari za asubuhi,
Kama mwandishi nguli wa habari, taarifa yako ni yakutaka uteuzi kwa asilimia mia moja 100%) vingenevyo ungekua unamaanisha kwamba sio kwa ajili ya uteuzi basi ungeibalance story story yako. UNATAFUTA UTEUZI WA UZEENI
Binafsi naona ni kama mkakati wa kichama kupitia uzanzibary. Na kilichonishangaza zaidi ni kwa nini mkuu wa muhimili ule arufusu mafumbo kwenye taasisi yake na kuingizwa kwenye hansad ya mjengo wao bila kutaka ufafanuzi, lkn pia wabunge wetu kutotoa taarifa na kushangalia,
Wasijaribu kuonja...
Habarini waungwana,
Ni matumaini kwamba watu watakua kwenye maandalizi ya sikukuu ya Pasaka.
Tafadhali napenda kuwajulisha kwamba kampuni niliyoitaja hapo juu inajihusisha na upokeaji na usambazaji wa mizigo inayotoka nje na hasa bidhaa zinazo nunuliwa kwa njia ya mitandaoni.
Ni kwamba...
Yeoyote anaekuja na hoja za udini tambua kwamba hana uwezo wa kujibu hoja zinazoibuliwa na watu wenye akili.
Mtu akishindwa kujibu hoja anakambilia kwenye udini kama kichaka chao cha kujificha.
Ndugu zangu Watanzania, naombeni niwaulize kidogo, ni wapi tunashindwa kujibu hoja za upande wa pili na badala yake tunaanza kuibua hoja ambazo hazipo kwenye mada. Ni kweli tulikwenda shule tukaelimika au tulikua watoro. Nimelileta hili kwa sababu naona watu badala ya kujibu hoja zilizopo mezani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.