Lengo Ni kuonana na Mkuu wa nchi; kazi ninayo nzuri tuu. Nalima matunda Aina ya Strawberry yananisaidia KUTUNZA familia. Shida yangu Ni zaidi ya hiyo
Kumbe inawezekana Ila itnigharimu miaka mingi Sana 😅😅😅😅😅😁
😁😁😁😁😅 Umenikumbusha nikiwa mdogo nilikuwa naishi na Bibi yangu. Sasa Bibi yangu alikuwa akipewa maziwa na mapdre wazungu. Lakini yale maziwa tulikuwa hatuyatumii kila siku, yalikuwa yakitumika kwa siku maalumu tuu. Sasa ilikuwa wakifika wageni mie ndo nilikuwa nikiitumia fursa hiyo kukataa chai...
Naombeni kwa wenye uelewa muweze kunijuza. Hivi kwa Mimi mwananchi wa kawaida (hohehahe) nikitaka kuonana na mkuu wa nchi natakiwa kufuata taratibu zipi ili nimfikie!
Hususani Kama Nina Jambo la muhimu ambalo nataka nimfikishie yeye mwenyewe moja kwa moja?
Au kwa Hali yangu nifute kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.