Recent content by Mwaisa1202

  1. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Matokeo ya Usaili TRA Kutangazwa Aprili 25, 2025

    Wanasubiri mlale ili msiandamane [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  2. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Sio kweli, mimi kuna jamaa angu alikuwa mtendaji wa kijiji sasa ni HR Halmashauri X
  3. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Hivi hizi ajira za TRA wanaruhusu kuomba nafasi zaidi ya moja?

    [emoji24][emoji24][emoji24]
  4. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Naomba maelezo kuhusu Recategorization kwenye suala la ajira

    Inawezekana , wewe karipot kisha ukishapewa barua ya kuthibitishwa andika barua k.k mkuu wa shule , k.k afisa elimu, k.k DMO kwenda kwa Mkurugenzi.
  5. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Inafaa kubadilisha kada?

    Inawezekana , ukisoma na kumaliza chuo kusomea hiyo kozi nyingine tofauti na ya awali , unaandika barua kisha utafanyiwa Recategoriezation
  6. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu usaili (Interview) wa TRA

    Tarehe 22 ndiyo inaishia hivyo
  7. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania TRA Yatumia Consultant Kusaidia Kuajiri na Sio Utumishi

    Pdf mpaka sasa bilabila sijui shida nini ? kama mtu akiipata aweke hapa tuangalie
  8. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu usaili (Interview) wa TRA

    Mpaka sasa bilabila
  9. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwahiyo wewe umefundishwa na watu wasio na akili? Heshimu waliokuongoza kufika ulipo sasa. Akikosea mwalimu au polisi au mwanajeshi au mwanasheria au mwasibu mmoja usihukumu wote kwa kosa au uzembe wa mtu mmoja kisa anataaluma flan basi ionekane watu wete wenye taaluma hiyo nao ni wakosaji wa...
  10. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama upo kwenye fani za post hizo jaribu bahati yako
  11. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Mapambano yanaendelea japo nimepunguza kasi kaka maana chance za transfer bila kujulikana ni kipengele ndugu yangu. Mungu akipenda nataka kurudishi shule mwaka huu mwishoni. Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  12. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Umehadimika sana bro Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  13. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    AJIRA B.O.T Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
  14. Mwaisa1202

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kaingia cha kike bora angesoma kozi ya afya, kajichanga kwelikweli Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom