Hasheem Thabeet alianza kwa kututoa kimasomaso na alivyorudi alifanya mengi zaidi ya aliyoyafanya Wanyama ila hakupewa heshima hiyo aliyopewa Wanyama, Hasheem Thabeet aliitangaza Tanzania vyema kuliko ambavyo Wanyama ataweza kuitangaza Tanzania kwa wazungu ila Hasheem hakupewa. Wabongo tuna...
Diamond kila siku anaenda KENYA, sijawahi kusikia kuna mtaa huko unaitwa Diamond Street na kila mtu anajua namna Diamond alivyoitoa kimasomaso East Africa kwenye fani ya muziki ila wenzetu hawana hizo shobo za kijinga za namna hii. Watanzania tutaendelea kuwa vituko na kuzarauliwa na hawa...
Hivi Nyerere alishawahi kunena mtu anayefosi kuingia ikulu kwa kila hali ni wa kuogopwa, hawa CCM ni wa kuwaogopa kama ukoma maana wanajaribu kutumia kila njia kuingia ikulu hata kudiriki kutishia raia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.