Recent content by mwaedson

  1. M

    Msaada wa bure unaendelea kwa waliokwama NACTE

    Mwenye uelewa na hili anisaidie ufafanuz. Nilitaka kuappy diploma in primary education kwa matokeo ya kidato cha nne lakin kila ninapochagua chuo kozi zinazoonekana ni za techinical certificate in primary education. Je diploma haipo tena imefutwa?
  2. M

    Je NACTE wamefunga system yao?

    Mimi na apply mara naambia code za mpesa sio sahihi mara zimetumika kumsajilia mtu mwingine
Back
Top Bottom