Recent content by MWADILACAFE BARIADI

  1. M

    Waziri Ndalichako unayajua haya ya Korogwe?

    Mkuu, umepa ushauri mzuri sana.
  2. M

    Tangazo la ajira

    Excel, Unataka picha ya ofisi yetu mkuu, japokuwa haiwezi kukusaidia saana ila kwa niaba ya ofisi ninaweza kukutumia picha kama utakuwa unauhitaji sana
  3. M

    Tangazo la ajira

    Avemaria, Bariadi accomodation sio shida labda kama huko ulipo. Kama utapewa nafasi ya kufanya kazi katika ofisi yetu na ww unatoka mbali, nakuahidi kuwa tutakutafutia accomodation kulingana na hadhi na jinsi yako. Kama unasifa bado tunapokea maombi yenu ila ni kwa wenye sifa na uzoefu tu...
  4. M

    Tangazo la ajira

    Kama una sifa ww omba nasi tutakuajiri. Fuata maelekezo ya jinsi ya kuomba then tutapokea ombi lako na kulifanyia kazi. Ahsante.
  5. M

    Tangazo la ajira

    Karibu ndugu rich seaker .Mbeya si mbali coz ipo ndani ya Tanzania. Kama una sifa omba kazi then utatusikiliza sisi tunasemaje. Karibu sana.
  6. M

    Tangazo la ajira

    Tuma maombi kwa lugha ya kiswahili au kiingereza ndugu Dunia Tabu
  7. M

    Tangazo la ajira

    Ndugu Holy tz, soma vizuri Tangazo letu then utaelewa kuwa tunahitaji watu wa aina gani. Yaani uwe na certificates, diploma,degrees au mastres sisi tutakuajiri ili mradi tu uwe na uwezo wa kkufanya kazi tajwa hapo juu
  8. M

    Tangazo la ajira

    Granta, Bariadi ni makao makuu ya Mkoa wa Simiyu, ukiomba ajira na kuonekana unasifa basi utapewa support nzuri tu ya kufika huku na pia utapewa support nzuri tu ya kuanza maisha. Mwadila Internet cafe & Secretarial Services husaili waombaji ajira kupitia kwenye mtandao (online interview) hivyo...
  9. M

    Tangazo la ajira

    You are warmly welcome friend
  10. M

    Tangazo la ajira

    Karibu sana Granta
  11. M

    Tangazo la ajira

    Tmajuto, tunawasubiri vijana kwa hamu kubwa ili tuwafundishe kazi za kujiajiri ili nao baadae wajiajiri.
  12. M

    Tangazo la ajira

    Ni kweli, tunathamini sana taaluma ya mtu, mshahara wetu ni mzuri ukilinganisha na mishahara ya watu wengine around Bariadi wanaotoa huduma kama zetu, Karibu sana ndugu yangu Junior. Cux
  13. M

    Tangazo la ajira

    OFISI YA MWADILA INTERNET CAFE & SECRETARIAL SERVICES YA BARIADI MJINI, SIMIYU; INAPENDA KUWATANGAZIA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI WOTE KUWA INAHITAJI VIJANA WAWILI WA KUFANYA NAO KAZI ZA UHAZILI (SECRETARIAL SERVICES) NA KAZI ZINAZOHUSIANA NA UUZAJI WA FEDHA KAMA M-PESA,TIGO PESA, AIRTEL MONEY...
Back
Top Bottom