Mimi kama mwanamke sione kama mnyella umewahaibisha wanaume kama wengi wa wanawake wenzangu wanavyochonga,sijui kwanini wana jf mnashangaa,kitu gani cha kushangaza kama mnazaliwa leo,mwanaume kutokuwa na kazi na mwanamke kuwa na kazi mnashangaa!,naona nyinyi hamjui dunia,dunia ina siri...