Ushuhuda na Sababu za Askari Kuwazuia Waumini
Ufungaji wa Usajili wa Kanisa
Msajili wa Jumuiya za Kiraia alitangaza kufutwa kwa usajili wa kanisa la Gwajima (Glory of Christ Tanzania / Ufufuo na Uzima), kwa madai kwamba mahubiri ya askofu yalikuwa na mwelekeo wa kisiasa na kuhatarisha amani ya...
Nikuwekea katuni reference ya kibonzo cha 2015 lakini kama nilivyoandika mwishoni ni ngumu kuelewa kama IQ ni ndogo lakini pia kama mazingira yanayokuzunguka yamekithiri soft knowledge. Si kila code itaeleweka kwa kila mtu
Hii ilikuwa tarehe 15 June 2015, katika nyakati ambazo joto la uchaguzi mkuu katika kiti cha URAIS lilikuwa limepanda Sana.
Macho, masikio, pua na mdomo vilielekezwa kwa Hayati John Magufuli na Edward Lowassa na hakika hakukuwa na upevu wa maono kwa manabii, MASHUSHUSHU, wanausalama na hata...
Huna content yoyote hapo una political delusion, unavyodhani wewe unaamini ndivyo hali ilivyo huna facts wala grounds za kuweka conclusion eti COVID wamekuwa maarufu kuzidi CHADEMA hiyo research imefanyika lini, wapi, hypothetical questions zilikuwa ZIPI? sample size ilikuwaje?
Hujui tofauti ya...
Kakojoe urudi kulala umeamka na wenge la ndoto ya uchawa na fikra za kipuuzi. Ukiamka tena weka poll ya kuuliza kipi maarufu kati ya hao COVID wako na CHADEMA
Unajua nini kuhusu MAHUSIANO ya tanzidata ya NIDA na BVR system?
Kama hujui kitu kakojoe ulale huwezi jua vitu vya ndani.
Unakuta kituo kilikuwa na watu 300 lakini matokeo yataonyesha wapiga kura walikuwa 400 mgombea kashinda kwa kishindo unadhani inatumika mbinu gani?
MAPUNGUANI UNASEMAJE VIJIJI VYOTE HALAFU TENA UNASEMA KASORO VIJIJI 1500? DAR TU MAJI BAADHI YA MITAA YANATOKA MARA MBILI KWA WIKI NA HAKUNA MABOMBA MAPYA TANGU ENZI ZA MKAPA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.