Huwezi kushauri watu kuifanyia majaribio nchi yao,acha tumchague rais ambaye tuna uhakika naye! CCM haitakuwa na wezi tena, wezi wote mmechukua nyinyi, ni chama safi cha mabadiliko ya kweli. Mabadiliko huletwa na aina ya kiongozi kwa sababu ndiye pekee anayeweza kuubadilisha mfumo
. Watanzania...
Watanzania wengi hawasali,hata wanaposali hawamaanishi. Wengine hawajui kabisa kuliko na makanisa wala misikiti.Wengine hata matambiko hakuna, wapo tu! Waacheni baada ya uchaguzi watajifunza kitu.
Hakuna serikali yoyote duniani kwa sasa inayofanya hivyo.Hata sekondari ni kwa sababu imebadilishwa kuwa elimu ya msingi na lazima, hivyo inabidi owe bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.