Recent content by Mvalaf

  1. M

    Chorus battle

    ben pol
  2. M

    Je, Wakristo wanajua Kiebrania kama Waislamu wanavyojua Quran/Kiarabu?

    Tulio wengi hatujuwi kwasababu imetafsiriwa katika lugha za wahusika,inaweza kuwa kwa kiswahili au hata kikabila ilimradi muhusika aelewe na hii ndio ilikuwa sababu ya kunena kwa lugha yan msikilizaji apate ujumbe kwa lugha atakayoilewa
  3. M

    Wakazi wa Dar es Salaam naombeni msaada

    huo mda mwingine nakuwa nazunguka kupaka rangi wadada
  4. M

    Wakazi wa Dar es Salaam naombeni msaada

    huo mda mwingine nakuwa nazunguka kupaka rangi
  5. M

    Wakazi wa Dar es Salaam naombeni msaada

    Kwa mida ya usiku vinauzika bar mkuu?
  6. M

    Wakazi wa Dar es Salaam naombeni msaada

    Sawa mkuu tupo pamoja
  7. M

    Wakazi wa Dar es Salaam naombeni msaada

    Sawa mkuu nitatembelea huko pia ili niweze pata uzoefu mpya na vipi mkuu unafikiri keenye bars ni bidhaa gani naweza kuwa napitisha usiku zonazonunulika sana,sina uzoefu na mji huu msaada katika hilo pia
  8. M

    Wakazi wa Dar es Salaam naombeni msaada

    Ahsante sana, nimeanza kuzunguka mitaa ya mbagala rangi3, japo nina siku 2 ila angalau panaleta matumaini, lakini ombi langu jengine ni idea ya vibiashara vidogo vya kupitisha keenye bars mida ya usiku ili niwe nafanya kazi usiku pia
  9. M

    Wakazi wa Dar es Salaam naombeni msaada

    Mambo vipi wakubwa, mimi ni mgeni hapa Dar es Salaam, ombi langu kwenu ni kufahamu mitaa ya Dar yenye idadi kubwa ya watu wa kipato cha hali ya chini pia inayoweza kusupport biashara ndogondogo, binafsi nadeal na kupaka rangi na kucha
Back
Top Bottom