Recent content by MV2K

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kikwete azidi kuwa lulu kimataifa, Kweli chema chajiuza...

    Sidhani kama ni busara kwa mtu aliyewahi kuwa "head of state" kuendelea kuwa wa kimataifa. Sijajua katiba inasemaje kuhusu hili, ila ingekuwa ni vema endapo katiba ingelizuia(kama limeruhusiwa).
  2. M

    JamiiForums Tanzania Duka la nguo za watoto linauzwa Dodoma

    Wandugu herini ya xmas na mwaka mpya. Kama mada inavyojieleza ninauza duka la nguo za watoto lenye thamani ya tsh 5.4m kwa tsh 3.5m. Duka lipo zunguni mtaa wa shabiby na ni duka pekee la watoto eneo hilo. Kwa mwenye uhitaji tafadhari ani-pm kwa mawasiliano. Nimeshindwa kuweka picha kwasababu ya...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Pata vifaranga vya kuku chotara bei nafuu

    Mkuu upo mkoa gan? Nataka mwez sep mzigo wa vifaranga 200.
Back
Top Bottom