Nimeuza gari mnunuzi hajafika bei nzuri na gari kaipenda ikabidi tuvue rims tufidie palipopungua
Nataka 1,000,000/= Rim na Tyre zake zote 4
Size 24
Sports Rims
+255788282409
Kinondoni
Mimi Sina mashaka na tiba zake ila adress ndio shida... kuhusu kujitangaza nadhani iyo ni personal issue atajua mwenyewe kwani matangazo ni kwa faida yake
Sent from my iPhone using JamiiForums
Habari zenu waungwana,
Nimekuja nikitokea hospital ya ocean road ambako dada angu amepewa majibu ya vipimo kua ana cancer ya Kizaizi stage 1.
Anatakiwa aanze tiba ya mionzi. Wanadai kizazi kimethirika kiasi hawawezi kukitoa.
Naomba mwenye wazo au mtazamo mbadala unaoweza kusaidia kupata tiba...
Fanya mazoezi kunywa maji mengi kabla hajaanza kugawa nje
Akianza na akapata mwamba msuguaji mzuri bro nakuapia utakufa kwa stress
Anza leo mazoezi nusu saa asubuhi na jioni kila siku
Achana na junk food Achana na sukari kunywa chai ya asali na tangawizi mwezi wa nne tar 15 njoo...
Leta 100,000tzs,nakupa dawa niliyotumia mimi...me sio mganga ila katika kuhangaika nikakuta website moja maweandika mafuta ya mmea flani ukichanganya na naniliu
Ni dawa yakunenepeshe zakari nikanunua Nikachanganya nikawa napigia puchu,
bro it works for sure ila hairefushi,
km wewe chako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.