Recent content by muximba

  1. muximba

    Siri ya kuwa Tajiri na watu wengi sana hawaijui leo sasa nakuambia hii siri

    utajiri.. utajiri. maana isiyo sahihi ya utajiri amabayo wengi tumeikariri...👇🏾👇🏾👇🏾 """Utajiri ni hali ya kuwa na mali nyingi au rasilimali za thamani, kama vile pesa, ardhi, biashara, au vitu vingine vya thamani"""" maana halisi ya utajiri... utajiri hauhusiani tu na fedha pekee; unaweza...
  2. muximba

    Wanawake mtatuua na hizi michezo za siri

    mkeo na yeye ni mdau wa JF rudi chukua haraka kabla hajaona post yako....
  3. muximba

    KERO RITA Lindi Mjini wamekosea majina yangu sahihi wakati wa marekebisho mara mbili mfululizo, inanigharimu zaidi

    ukinadi hivi wao wananadi yao. Ukizingatia wewe ndi mwenye umuhimu wa kitu chako unabaki huna namna kwa kuwa hutaki kucheleweshwa.
  4. muximba

    KERO RITA Lindi Mjini wamekosea majina yangu sahihi wakati wa marekebisho mara mbili mfululizo, inanigharimu zaidi

    wazi sasa ni kwamba umakini unakuwa mdogo kwa wengi wa watumishi wetu tumebakiwa na tabia za wakoloni za kusahau nafasi zetu ni kwa ajili ya wale tunaowatumikia. wengi tunafanya kazi siku ipite tulipwe na ndio maana tunafeli kutoa huduma sahihi...
  5. muximba

    KERO RITA Lindi Mjini wamekosea majina yangu sahihi wakati wa marekebisho mara mbili mfululizo, inanigharimu zaidi

    wao wameamua kuachana kabisa na umakini hawahitaji tena wakidai ni wazoefu.
  6. muximba

    KERO RITA Lindi Mjini wamekosea majina yangu sahihi wakati wa marekebisho mara mbili mfululizo, inanigharimu zaidi

    unalipia ts 13000/= na huchukua masaa matatu hadi siku.. mara zote wanakuambia nenda utapigiwa simu kurudi uchukue
  7. muximba

    KERO RITA Lindi Mjini wamekosea majina yangu sahihi wakati wa marekebisho mara mbili mfululizo, inanigharimu zaidi

    nimeweka huku ili iwe adressed kwa watu wengi wazidi umakini... ila umezungumza jambo la maana sana
  8. muximba

    KERO RITA Lindi Mjini wamekosea majina yangu sahihi wakati wa marekebisho mara mbili mfululizo, inanigharimu zaidi

    Katika harakati za kurekebisha majina ya cheti cha kuzaliwa yafanane na yale yaliyo kwenye vyeti vya taaluma nilikwenda RITA wilaya ya LINDI Mjini, mara ya kwanza nikalipia na kuacha MAJINA SAHIHI lakini ajabu majina yalikosewa. MARA YA PILI vivyo hivyo nililipia na kuacha MAJINA SAHIHI pia...
  9. muximba

    Orodha ya wanasiasa ambao bila kuwapuuza Tanzania tusingekuwa hapa leo

    Mbona wote wa upinzani..... Hata wewe ukiwa na nafasi ya kufanya unachoamini fanya ili tuje kuona matunda yake. Ukisikiliza watu.
  10. muximba

    Kwanini Mitandao ya Simu ilishindwa kuendelea kutumia codes za zamani (Voda-0754, Tigo Yas-0717, Airtel-0787)?? Any technical justification please??..

    ukitoa code za mtandao (namba 4 za awali) zinabaki digit 6. namba ya juu kwa digit 6 ni 999,999. ko bila kubadili code za mwanzo za mtandao tunatarajia kuwa na watumiaji laki 9, 99 elfu mia 9 tisini na kenda. muda huo wewe una laini tatu za mtandao mmoja.. hopeful umenipata.
  11. muximba

    Je, kiusalama, kuvaa vest ya kuzuia risasi, na kuacha kichwa, ambayo ni sehemu hatari zaidi, ikiwa wazi, mtu anakuwa amejilinda?

    sie tulienda jkt tuliweza kulenga 100m na tukapata bull... tunategemea anayekamata bunduki kwa maasi awe expert sana kuliko vijana wa jkt wa risasi 5. bado sio salama sana kuacha kichwa exposed.
Back
Top Bottom