Recent content by Muuza Kangala

  1. M

    JamiiForums Tanzania Shabiki wa Yanga aliyemshambulia kocha wa Gaborone Utd akamatwe. Caf waifungie Yanga. Ushamba na upuuzi kama huu ni aibu kwa taifa letu

    Mimi ni shabiki wa Yanga ila sijafurahia kitendo hiki ambacho kwa karne hii ya leo watu wamestarabika. Huwezi kumshambulia mtu kwa ngumi hadharani bila ya kosa lolote mpia umeisha na timu imeshinda. Caf waifuingie Yanga isiendelee na mashindano. Ni upuuzi na upumbavu kuwa na timu zina...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Impliedly; RPC Arusha anamaanisha wanaostahili kupigwa ni migambo sio askari wa Polisi

    Kwa tafsiri hii ni kuwa Migambo ndio wanastahili kichapo👇
  3. M

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya raia kupambana na polisi na kuwapiga ni dalili kuwa ipo siku raia watashika silaha na amani itatoweka

    Utawala wa sheria unapaswa kufanyika kwa misingi ya sheria. Lakini kama wasimamizi wa sheria wanakiuka nini kitafyata? Raia watachoka, kila mtu atajichukulia sheria mkononi. Raia watapigana na polisi. Baaddae wao kwa wao watapigana na kuuana.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ombi kwa uongozi wa Jamii forums. Wekeni utaratibu mtu ukimuignore asiweze kuona nyuzi zako au comment zako

    Mijitu mipumbavu ambayo inatumia makalio kufikiri . Mijitu inayodandia mada hata kama hizo mada haziwahusu. Inatakiwa ukiiblock isiweze kuona nyuzi au comment zako.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tabia chafu sana hii, unaroga uume wa Ex wako, akikutana na mwanamke mwingine uume unagoma

    Mtoto mdogo huyo asikusumbue.
Back
Top Bottom