Utamhoji vipi mtu polisi kwa kosa kama hili ambalo kiuhalisia hufanyika kwenye viunga vya mahakama mbele ya jaji au hakimu. Hata kama ni nje ya mahakama Jaji au hakimu hutoa amri ya mkosaji kukamatwa na kisha kuhukumiwa.
Unarogwa na maadui unaofanya nao kazi kwa wivu na chuki zisizofaa kimaendeleo.
Uraiani unarogwa na wananzengo ambao hata ukivaa shati na wakiona wewe una uhakika wa kura ugali dagaa wanachukia.
Bado hawara na mke wako wanakuroga na kukugombania kama mpira wa kona.
Inasemekana Majambazi yakiwa na bunduki yamevamia maduka ya fedha maarufu kama M pesa na kupora mamilioni ya fedha.
Tukio hili limetokea Katoro hapo jana siku ya tar 10 majira ya saa mbili usiku.
My take; Majambazi yanapalia timing Katoro sababu ya watu wa katoro kujionyesha kuwa wana hela na...
Kuanzia miaka ya 2000 baada ya mgodi wa Bulyanhulu kuzinduliwa vijana wengi hadi leo hii humiminika kwa wingi kwenye kijiji hiki ili kusaka ajira mgodini.
Ukweli ni kuwa ajira za hapa ni ngumu. Mtu anaweza kukaa hata miaka mitano au zaidi bila kupata ajira.
Wengi wa hawa vijana hata wakipata...
Badala ya kuleta wachezaji makini na hodari mnaleta Simba wa porini toka ngorongoro.
Sio mbaya watu wengi wa Dar hawana uwezo kwenda mbugani kuangalia wanyama.
Mbaya zaidi Straika anasaidia timu pinzani kuokoa mpira.
Mradi mkubwa wa maji kutoka Buzirayombo na matangi yamejengwa Itare ambayo baada ya kukamilika ulituaminisha utamaliza kero ya maji kwa wila ya Chato na baadhi ya maeneo ya Biharamulo.
Ukweli ni kwamba kuna kero kubwa sana ya maji hapa Chato. Maji yanatoma kwa mgao na kukatikatika hovyo.
Juma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.