Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limesema Mwanaume mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 hadi 35 amefariki dunia baada ya kupigwa risasi na Polisi, akidaiwa kuingia katika Benki iliyopo Rock City Mall, Mwanza.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, tukio hilo limetokea...
Mimi ni shabiki wa Yanga ila sijafurahia kitendo hiki ambacho kwa karne hii ya leo watu wamestarabika.
Huwezi kumshambulia mtu kwa ngumi hadharani bila ya kosa lolote mpia umeisha na timu imeshinda.
Caf waifuingie Yanga isiendelee na mashindano. Ni upuuzi na upumbavu kuwa na timu zina...
Utawala wa sheria unapaswa kufanyika kwa misingi ya sheria.
Lakini kama wasimamizi wa sheria wanakiuka nini kitafyata?
Raia watachoka, kila mtu atajichukulia sheria mkononi. Raia watapigana na polisi. Baaddae wao kwa wao watapigana na kuuana.
Mijitu mipumbavu ambayo inatumia makalio kufikiri .
Mijitu inayodandia mada hata kama hizo mada haziwahusu. Inatakiwa ukiiblock isiweze kuona nyuzi au comment zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.