Inasadikiwa aliibiwa ng'ombe zake huko Muleba. Akaenda kwenye mmoja ya minada ya kuuza ng'ombe na akaziona baadhi ya ng'ombe zake.
Ilikuwa siku kama chache kipindi cha sikukuu ya Iddi.
Alipoziona ng'ombe zake pale mnadani akaanza kufyatua risasi juu ili kuwatawanya wananchi. Risasi...
Watu wapo busy stand ya zamani wanapiga soga kwenye vijiwe vya kahawa na kile kijiwe maarufu cha mafundi viatu.
Hawana habari na maandamano ya Jesca na CCM iliyojaa greenguard waliovaa buti zilizopauka
Kwa ujumla hana ushawaishi na hawezi kuisaidia CCM
Bila ubishi Kapembe anachukua kiti cha uenyekiti.
Manunga alitumia pesa tu ambazo zilimpa uenyekiti bila ridhaa ya madiwani.
Leo ametimuliwa. Hata uchaguzi ukirudiwa sasa hivi Kapembe anashinda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.