Recent content by Muuza Kangala

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kudharau amri ya mahakama ni kosa dogo ambalo mtuhumiwa hapaswi kuhojiwa polisi. Kosa likifanyaki hakimu hutoa amri ya mkosaji kukamatwa na kuadhibiwa

    Utamhoji vipi mtu polisi kwa kosa kama hili ambalo kiuhalisia hufanyika kwenye viunga vya mahakama mbele ya jaji au hakimu. Hata kama ni nje ya mahakama Jaji au hakimu hutoa amri ya mkosaji kukamatwa na kisha kuhukumiwa.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ukiwa mtumishi wa umma maisha yako yapo hatarini kwa ushirikina masaa 24 siku 365.

    Unarogwa na maadui unaofanya nao kazi kwa wivu na chuki zisizofaa kimaendeleo. Uraiani unarogwa na wananzengo ambao hata ukivaa shati na wakiona wewe una uhakika wa kura ugali dagaa wanachukia. Bado hawara na mke wako wanakuroga na kukugombania kama mpira wa kona.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ujambazi mkubwa umefanyika jana Katoro. Maduka ya M-pesa yameporwa pesa. Milio ya bunduki ilirindima watu wakajifungia uvunguni

    Inasemekana Majambazi yakiwa na bunduki yamevamia maduka ya fedha maarufu kama M pesa na kupora mamilioni ya fedha. Tukio hili limetokea Katoro hapo jana siku ya tar 10 majira ya saa mbili usiku. My take; Majambazi yanapalia timing Katoro sababu ya watu wa katoro kujionyesha kuwa wana hela na...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kakola Bulyanhulu; Kiiji kilichoharibu vijana wengi kwa tamaa ya kufanya kazi migodini ili wapate mishara mikubwa

    Kuanzia miaka ya 2000 baada ya mgodi wa Bulyanhulu kuzinduliwa vijana wengi hadi leo hii humiminika kwa wingi kwenye kijiji hiki ili kusaka ajira mgodini. Ukweli ni kuwa ajira za hapa ni ngumu. Mtu anaweza kukaa hata miaka mitano au zaidi bila kupata ajira. Wengi wa hawa vijana hata wakipata...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Dharau kubwa: Mangungu apaita Kaliua kijiji cha porini

    Kaliaua ni mji wa zamani sana. Huyu mzee anajifanya hapajui?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mojawapo ya misingi ya dira 2050 ni demokrasia, haki na uhuru. Kwa namna hii tutafika?

    Mkundu na **** la mama yalo. Umezoea kufirwa kila kukicha unatafuta mabwana
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ilikuwa sio Simba day, bali yalikuwa maonyesho ya wanyama pori. Straika anapiga kichwa kurudisha nyuma mpira

    Badala ya kuleta wachezaji makini na hodari mnaleta Simba wa porini toka ngorongoro. Sio mbaya watu wengi wa Dar hawana uwezo kwenda mbugani kuangalia wanyama. Mbaya zaidi Straika anasaidia timu pinzani kuokoa mpira.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Aweso, Chato bado kuna shida kubwa ya maji. Huu mradi uliosema umekamilika haujaleta msaada wowote

    Mradi mkubwa wa maji kutoka Buzirayombo na matangi yamejengwa Itare ambayo baada ya kukamilika ulituaminisha utamaliza kero ya maji kwa wila ya Chato na baadhi ya maeneo ya Biharamulo. Ukweli ni kwamba kuna kero kubwa sana ya maji hapa Chato. Maji yanatoma kwa mgao na kukatikatika hovyo. Juma...
  9. M

    JamiiForums Tanzania CCM mtandao wakiona hivi wanapata hofu. Soon watasimamisha mikutano ya Chadema

    We shoga mfirwaji unahangaika sana.
  10. M

    JamiiForums Tanzania CCM mtandao wakiona hivi wanapata hofu. Soon watasimamisha mikutano ya Chadema

    Mkundu na **** la mama yako. Naona kila siku unawaza habari za Chato. Shoga mfirwaji.
Back
Top Bottom