Recent content by Muuza Kangala

  1. M

    JamiiForums Tanzania Swali kwa Mwashambwa na TlaahTlaah: Yuko wapi Kada huyu na kipi kinaendelea sasa kwenye Maisha yake, alipotoka kwenye matibabu India 2011?

    Mtu mwenye akili timamu atauliza watu kama hawa! Mavi yako
  2. M

    JamiiForums Tanzania Walisema huyu Nabii Tito ana matatizo ya akili Je, wataweza kumshitaki wakati ni mwehu

    Insanity as a defense in criminal cases.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Walisema huyu Nabii Tito ana matatizo ya akili Je, wataweza kumshitaki wakati ni mwehu

    Walisema huyu jamaa ana matatizo ya akili (Insanity). Je, wataweza kumshitaki wakati ni mwehu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kudharau amri ya mahakama ni kosa dogo ambalo mtuhumiwa hapaswi kuhojiwa polisi. Kosa likifanyaki hakimu hutoa amri ya mkosaji kukamatwa na kuadhibiwa

    Utamhoji vipi mtu polisi kwa kosa kama hili ambalo kiuhalisia hufanyika kwenye viunga vya mahakama mbele ya jaji au hakimu. Hata kama ni nje ya mahakama Jaji au hakimu hutoa amri ya mkosaji kukamatwa na kisha kuhukumiwa.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ukiwa mtumishi wa umma maisha yako yapo hatarini kwa ushirikina masaa 24 siku 365.

    Unarogwa na maadui unaofanya nao kazi kwa wivu na chuki zisizofaa kimaendeleo. Uraiani unarogwa na wananzengo ambao hata ukivaa shati na wakiona wewe una uhakika wa kura ugali dagaa wanachukia. Bado hawara na mke wako wanakuroga na kukugombania kama mpira wa kona.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ujambazi mkubwa umefanyika jana Katoro. Maduka ya M-pesa yameporwa pesa. Milio ya bunduki ilirindima watu wakajifungia uvunguni

    Inasemekana Majambazi yakiwa na bunduki yamevamia maduka ya fedha maarufu kama M pesa na kupora mamilioni ya fedha. Tukio hili limetokea Katoro hapo jana siku ya tar 10 majira ya saa mbili usiku. My take; Majambazi yanapalia timing Katoro sababu ya watu wa katoro kujionyesha kuwa wana hela na...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kakola Bulyanhulu; Kiiji kilichoharibu vijana wengi kwa tamaa ya kufanya kazi migodini ili wapate mishara mikubwa

    Kuanzia miaka ya 2000 baada ya mgodi wa Bulyanhulu kuzinduliwa vijana wengi hadi leo hii humiminika kwa wingi kwenye kijiji hiki ili kusaka ajira mgodini. Ukweli ni kuwa ajira za hapa ni ngumu. Mtu anaweza kukaa hata miaka mitano au zaidi bila kupata ajira. Wengi wa hawa vijana hata wakipata...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dharau kubwa: Mangungu apaita Kaliua kijiji cha porini

    Kaliaua ni mji wa zamani sana. Huyu mzee anajifanya hapajui?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mojawapo ya misingi ya dira 2050 ni demokrasia, haki na uhuru. Kwa namna hii tutafika?

    Mkundu na **** la mama yalo. Umezoea kufirwa kila kukicha unatafuta mabwana
Back
Top Bottom