Recent content by Muuru

  1. M

    Watangazaji wa Kili FM rudini shule mkasome

    Ni elimu ndogo mkuu. Kipindi kile inaanza ilikua bomba ila this tym ni mtori tu. Wengi wa watangazaji nawafaham ni madogo tu wa mtaani hapa viroba kwa sana
  2. M

    Magaidi wa Garisa

    Hahhaaa mkuu we utakua genius wa mirembe
  3. M

    Bishop Piusi Erasto Ikongo alikosoa vikali jukwaa la wakristo

    Ondoka mzee, kalale mzee.....umechoka mzee. ..
  4. M

    Majina ya Kisukuma

    Huku kuumizana ndimi sasa duh
  5. M

    Tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania kuhusiana na Muswada wa Mahakama ya Kadhi

    Hilo jibu ngoja nishushie na kiroba nilale
  6. M

    Serikali hamlioni hili??

    Ngoja tuone kaka maana na hili linasubiri tume
  7. M

    Serikali hamlioni hili??

    Fursa hahhahaaa
  8. M

    Serikali hamlioni hili??

    Kaka hawa watu sijui wanataka tufike wapi
  9. M

    Serikali hamlioni hili??

    Hizo kura zitoke kwa waathirika?
  10. M

    Serikali hamlioni hili??

    Wakuu nawasalim popote mlipo. Kiukweli nashangazwa sana napopita maeneo ya Dar haswa Temeke na mnazi mmoja kuna watu wanaoendesha maonesho ya kuhusu freemanson na matumizi ya kondom Kwa yeyote aliyewahi kuwaona watu hawa wanawadanganya watu eti wao walikua fremanson wakakimbia(sina uhakika...
  11. M

    Kinana yupo Moshi Mjini kwa ziara ya Kichama

    Hivi BAVICHAni nin mkuu???maana kuna mtu kanambia eti ni baraza la vichaa😁
  12. M

    Vitz Rs inauzwa 4.5M

    Kweli muuza ugoro
  13. M

    Serikali yangu imefumba macho??

    Wakuu nawasalim popote mlipo. Kiukweli nashangazwa sana napopita maeneo ya Dar haswa Temeke na mnazi mmoja kuna watu wanaoendesha maonesho ya kuhusu freemanson na matumizi ya kondom Kwa yeyote aliyewahi kuwaona watu hawa wanawadanganya watu eti wao walikua fremanson wakakimbia(sina uhakika kama...
Back
Top Bottom