Habari zenu wanajf?? karibuni tujadili hili maana mwenyew napatwa na mashaka kidogo had nafikia kusema bora uwe upo upo tu kuliko kuingia kwenye ndoa!!
ok turudi kwenye mada yenyewe ni hivi kama kawaida yangu huwa nikiendaga dukani kununua T-shirt au suruali hupenda kumpelekea fundi wangu...
Habari zenu wana JF?
Leo naomba nishee nanyi aina na vigezo za yule nitayekuwa nae maishani
1) Awe mpole na mtulivu: Namaanisha asiwe mtu muongeaji saana kwana hata mm nipo very polite
2) Awe na maadili mazuri: Namaanisha awe amepata malezi yaliyo mazuri na awe mke mwenye kuijali na...
Mambo vipi wana Jf wenzangu?
Karibuni tujadili hii mada maan hadi sasa nachanganyikiwa kabisa sijui ndio napendwa au zuga tu! Ok turudi kwenye mada. Just imagine wakati nikiwa na mishemishe zangu ghafla kuna msichana wa mtaani na namfahamu pia ananiita nilipomsogelea tu bila ata ya...
Habar wana jf??
Samahanin nyoote mtakaoguswa na post hii ila ndio ukweli wa mambo ulivyo. Kwani kila mwanamke wa sasa anaamini mapenzi ni pesa na ndio maana wamezua msemo MAPENZI PESA na wengine hawathamini katika mahusiano ila mtu mwenye Pesa sasa ww mdada mwenye mawazo kama haya...
Mambo vipi wadau wangu wa MMU nahisi mko poa huku mkiendelea na majukumu.
Kama ilivyo ada karibuni tujadili swali hili maana hadi sasa napatwa na mashaka isijekuwa majibu ya swali ndio yaliniponza .
Kwa kweli kuna binti nilikuwa nae karibu alinizoea sana na alipenda mda wote tuwe...
Habari zenu wana JF, mko poa?
Kwa kweli nilikuwa na mpenzi wangu na nilimpenda sana ila kutokana na sababu tofautu tofauti nikamwagana nae kwa wale wadau wangu watakuwa wameshaelewa kwanini nilimwagana na hizo sababu nilizielezea katika post zangu za nyuma zilizopita na baada ya feedback...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.