Recent content by MutuFC

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kuhusu data: Zitto "ambishia" Rais Magufuli

    Mbona CAG huwa kila mwaka anakagua tu ayo makusanyo. Isitoshe skuizi tax zinalipwa mojakwamoja bank ambapo kwa wakati huo huo inaonekana kweny tax systems zilizopo na bot. Ni kujiongeza tu kdg kutafuta ukweli. Mfano makusanyo Ya Domestic Revenue peke yake hayajawai kushuka 600bn kwa mwaka wa...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Zitto: Mapato ya Serikali yameporomoka mpaka chini ya Shilingi bilioni 600

    Uongo huu. Zito naona unapoteza dira
  3. M

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Kama Jewish bible ambayo ni sawa na agano la kale kwa most christians ilikuwa au ipo na vitabu 24 tu, je hivyo vilivyozidi vya wakatoliki na waprotestants walivitoa wapi?
  4. M

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Je mnaifahamu hebrew bible? Biblia original kabisa ya wayahudi ina vitabu vingapi?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tuache Siasa ktk Uchumi: Wachumi tuelimisheni Dhambi ya Fixed Deposit na Faida ya Fedha Kukaa tu BoT

    Fedha ikiwa BOT inaweza kukopeshwa kwa mabenki binafsi kwa faida, au zinaweza kutumika kwa miradi ya serikali pale inapoitajika. Zikiwa FD inaipa riba shirika au mtu binafsi au kikundi cha watu binafsi wakati ela iyoiyo kama serikali ina uhitaji inakopeshwa na taasisi za fedha kwa gharama kubwa...
Back
Top Bottom