Nchi hii labda aje malaika, lakini Kama ni binadamu Hawa Hawa lazima tu wamseme ,nyimbo hizi zilikuwa na beti hizi hizi kwa JK wakati Yuko madarakani, zikahamia kwa JPM na muda si mrefu tutaziimba kwa SSH, pengine JPM alilijua hili na akaamua Kama alivyoona.
Hebu tujiulize hivi huyo Katibu...
pole sana. Kwa kupenda vya bure. Kumbe ndio sababu ya kuwadaganya watz kwa sera ya maendeleo ya watu bila barabara,?. Na kuwaza dhamana ya madini !!!!?.
Hata kwa kikwete ngonjera zilikuwa hizihizi, mnabadilisha maneno tu tune ileile. Kwa maneno yako kuwa ni mtu hatari Basi huyu akipewa nchi ataharibu. Hatapewa.
Basi ukajiona mwenye akili Sana hapa duniani ingawa bado watoto wako wanafundishwa na walimu unaowadharau.
Pengine waweza sema oh wanangu wanasoma shule zile za akina fulani, hata hao wamesoma vyuo hapa hapa bongo,
Pole kwa kudhani embe la kutoka Kenya, Burundi Msumbiji ni tamu zaidi ya embe...
Shida yetu watanzania wengi ni much know sana. Sawa umeona udhaifu wa mwl au walimu wachache hao, ndo unajuisha kwa wote utafikiri walimu wote nchi hii wanasoma shule moja na chuo kimoja.ingawa mtaala ni mmoja.
Au kwako kufundisha na kujifunza ni kuongea maneno mengi eti kwa kigezo cha kufafanua...
Pole sana Yaani kumbe ukijiunga hapa tayari wewe ni msomi? Nadhani shida ni vielimu vyetu hivi. Unahisi unajua kila kitu hapa duniani. Kisa tu JF. Mara ohh great thinker. Duh!!!!
Hapo sasa wamechanjwa kwanza ndo wakaingia bungeni?
Kama waliondoka kwa sababu bungeni kuna corona. Je warudi ili waambukizwe?
Au bungeni limekuwa fumigated?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.