Lissu ni kizazi kinachowakilisha falsafa mpya ya kuwa hata km una mazuri meeengi km mwl.Nyerere yapo mabaya coz hakuwa Mungu,Mtume,Mwenyeheri au Nabii hiyo ni juu yetu kuchukua mema yake yote bt tujifunze na mabaya yake tusije kuyarudia,mawazo yake yasiwe ndio mwisho wa upeo wa tz kufikiria.
Tz...
Ki ukweli hakuna sababu ya msingi ya serikali mbili,cha muhimu tume nayo moja au tatu km ilivyopendekezwa.
Wanaotaka Serikali mbili ukiwauliza huwa hawana majibu yakuridhisha zaid ya gharama na msimamo wa chama,mwingne bungeni juzi anasema msululu wa viongozi kutakuwa na trafic jam.
Bila kujua...
Jamani msishangae,watu tunaishi kwa kusikia tu ooohhhserikali 3 gharama,mara nikinyume na chama chetu au uroho wa madaraka,mzee Warioba anajua alichofanya na ni kwa maslahi ya Tanzania hivyo mwananchi ni jukumu letu kuunga mkono watu na mambo mazuri mwa mustaka ali wa Taifa
Wazo ni zuri lakini ki ukweli mishahara ni midogo sn na kuna hatari serikali ikapoteza kodi ya PAYEE coz wiwango vya wiki ving vtaangukia chini ya laki1 ambayo haitozwi kodi.
Imagine we ni graduate mzoefu unapokea salary ya laki 6,kwa wki laki1.5 toa makato ya kisheria eg.LAPF,NHIF(BIMA YA...
Yapo madhara,kwanza gari inapoteza stability yake (uwezo na utulivu ikiwa barabarani),pili inakula mafuta kiac ukilinganisha na awali,tatu inapoteza uwezo wa kukata kona ktk angle kubwa coz tairi inagusa body,nne carrying capacity inapungua coz uwezo mnepo una limitiwa na space ndogo kt ya body...
Nimenunua modern bt nikiichomeka kwny computer inaonyesha imekuwa connected ila nashangaa nikifunguu internet haifunguki ipo offline,nmejaribu sn kuweka kwny computer tofauti mambo ni yale yale.
Naombeni msaada wa kuifanya ifanyekaz vzr
Ni mawazo yake professor Baregu,haina maana kumuona msaliti katiba zipo na ndio maana znafanyiwa marekebisho au kuandikwa upya pale znapotokea changamoto.
Siasa ni zaidi ya katiba,km huna ushawishi wa hoja utabaki na katiba yako na lengo la kukamata dola likawa ni hadithi icyo na mwisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.