Recent content by Muster mind

  1. Muster mind

    Mtaji milioni moja laki saba. Nifanye nini ndani ya Dar nitoke

    Mkuu ungetupa uzoefu wako wa biashara ya nyama kwa sasa MTU aliye Dar : - mikoa ya kununua ng'ombe na gharama zao zikoje -usafiri mpaka kufika Dar unakuaje -mauzo kwa sasa yakoje kwa MTU anaechinja mwenyewe na kuuza butcher zake Natanguliza shukrani
  2. Muster mind

    Mwenye uekewa zaidi kuhusu minada mikubwa ya mazao ya biashara kama Ufuta,Korosho

    Habarini katika kufatilia mambo ya ununuzi wa mazao kama ufuta na korosho huwa kunakua na taratibu za tofauti kidogo hasa kuhusu minada ambayo huwa inatangazwa tarehe na wanunuzi hujitokeza kununua. Personally nilikua nikielewa kua mnapoenda kwenye hii minada mnaanza kushindana bei kama ilivyo...
  3. Muster mind

    Fursa ya biashara ndani ya visiwa vya Comoro

    Na gharama za kusafirisha kawaida zikoje mkuu
  4. Muster mind

    Unafahamu "Competitive Intelligence" ni nini?

    I Iko poa sana kwa nchi yetu tools zipi can be used for competitive intelligence? Wenzetu wanatumia zaidi technology na hasa sababu information zao nyingi na biashara ziko kwenye systems na sites ..tunaweza analyse tools chache au mbinu za kutumia kwa nchi zetu kufanikisha hili..baadhi...
  5. Muster mind

    Biashara ya mashine ya kusaga na kukoboa nafaka- Fahamu bei zake, uendeshaji wa biashara hii pamoja na faida na hasara zake

    Habari wewe unapatikana wapi Niko tegeta wazo utaniuzia kiasi gani gunia za kg 100 na uwezo wako ni kusupply kiasi gani??
  6. Muster mind

    NATAFUTA CANTERS 10 ZA KUKODI DAR

    Ipo kwenye plan lakini tuna miezi mitatu ya kuanza kabla hazijanuniliwa ndio maana tumeopt kukodi
  7. Muster mind

    NATAFUTA CANTERS 10 ZA KUKODI DAR

    Habarini wanajamvi kwa yeyote mmiliki wa canters kuanzia tani 2 na kuendelea naomba aniwhatsaap 0744043886 kampuni yetu inataka kumi (10) kwaajili ya distribution ya products zake Dar es salaam... Naomba kuwasilisha na karibuni 0744043886
Back
Top Bottom