Hawa wapuuz wanatoaga taarfa zao wakifikir kila mtu ni nyumbu!! Unapiga risas kwa mfugaji alikua na silaha gan?? Na kupiga risas juu inauwa vp! Au kapigwa na ganda la risasi!!
Duh kibaya zaid nakumbuka juz tu ile milion700 ya walipa kodi ni bora ingewalipa walimu au ingefanya maendeleo mengine! Hamasa kwa wachezaji sio mbaya pia sio lazma kutoa pesa nyng kiasi kile, hata Kuwaiti ikulu na kupata nao chakula na kuwapa posho kidogo ingefaa!! Haya sasa
Ninachoona ni njia ya upigaji dar uiite hata PORI LA AKIBA haisaidiii kitu watu wanaishi na kaz znaendelea kama kawaida mngepambana hv miaka ya 80 au 90 sio sasa Naona mnapagawa na Uchaguzi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.