Recent content by mussaamos

  1. mussaamos

    Serikali na Jamii ikomeshe ajira kwa watoto

    ni kweli ila utu na hekima zaidi zinahitajika.
  2. mussaamos

    Serikali na Jamii ikomeshe ajira kwa watoto

    Matatizo mengi hapa nchini huwa endelevu kwa sababu ufuatiliaji wake huwa ni wa msimu, mpaka janga litokee ndo ufuatiliaji unaanza, tukio likiisha ufuatiliaji wa kukomesha tatizo unakoma na kusubiri tatizo jingine tena, huwa hakuna ufuatiliaji endelevu. Suala la ajira kwa watoto ni jambo...
  3. mussaamos

    SoC01 Tutokomeze ulawiti kwa watoto

    Suala kubakwa na kuingiliwa kinyume na maumbile kwa watoto limekuwa likijitokeza Mara kwa Mara hapa nchini. Suala hili linatakiwa kuangaliwa kwa umakini na kutafutiwa mwarobaini wake mapema. Chanzo cha tatizo hili:- (a) Malezi (maadili) mabovu kwa watoto. Nilikuwa nikifanya research kwenye...
  4. mussaamos

    SoC01 Kupata Kidogo kwenye Kingi ni bora kuliko kupata Kingi kwenye Kidogo

    Write your reply...nimekuelewa vizuri sana.
  5. mussaamos

    SoC01 Mchango wangu kuhusu Tanzania

    Mchango wangu in kama ifuatavyo:- Uchumi na biashara- Serikali itoe elimu kwa wananchi kuhusu biashara na kodi, pia iweke kodi rafiki kwa wafanyabiashara ili watu wengi zaidi kutoka ndani na nje ya nchi washawishike kuwekeza katika biashara na uchumi wa watu na taifa utakua. Pia serikali...
Back
Top Bottom