Recent content by Mussa Ramadhani Mussa

  1. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania BongoZozo amepost picha ya watoto wake na kuandika "madini niliyoiba" huku akiweka wazi kuwa watoto wake wameporwa uraia wa Tanzania na Serikali

    Wewe jamaa nimekufuatilia nimegundua kuwa unafaidika na huu mfumo uliopo na si vinginevyo. Kwa kilichotokea na kinachoendelea sidhani kama mtu Mwenye akili kama zako atakuwa hafaidiki kutoka kwa wenye mamlaka. Maslahi huleta upofu!! Niishie tu hapo.
  2. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Video: DW waachia Ushahidi mpya juu ya mauaji ya Oktoba 29, 2025

    Ogopa Mungu na Teknolojia
  3. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania Samia angekubali ushauri wa Lissu asingepata fedheha anayoipata leo

    Yule mama hashauriki na hajutii kilichotokea. Angalia gesture yake utagundua kuwa alitamani afanye zaidi ya pale (mauaji). Bahati mbaya amezungukwa na Watu wanaompoteza mno kiushauri.
  4. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Barua ya wazi kwa Balozi wa Papa juu ya kauli ya Askofu Ruwa’ichi

    Lofa lingine limepatikana huku🤣🤣
  5. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa kabila la Kimasai wanapiga watu ovyo barabarani wapitapo Arusha

    Na wale wamasai wa Tanga warudi Arusha au sio
  6. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa kabila la Kimasai wanapiga watu ovyo barabarani wapitapo Arusha

    Hao wanaongea tu bila kujua madhara
  7. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa kabila la Kimasai wanapiga watu ovyo barabarani wapitapo Arusha

    Haki ya Mungu haya ni maandamano
  8. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa kabila la Kimasai wanapiga watu ovyo barabarani wapitapo Arusha

    Kwa Sheria ipi inayosema kuwa kuna wamiliki wa mji Tanzania. Acha mihemuko kijana hii nchi ni yetu sote, Mimi natokea Tanga naishi Arusha na hata huko nitokako kuna wamasai tena maelfu kwa maelfu lakini hatujawahi kuwabagua. Sasa hoja yako Haina mashiko zaidi ya hisia potofu za utenganifu.
  9. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa kabila la Kimasai wanapiga watu ovyo barabarani wapitapo Arusha

    Tunataka tu Sheria ichukuwe mkondo wake wake.
  10. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa kabila la Kimasai wanapiga watu ovyo barabarani wapitapo Arusha

    Ili wafanyeje? Watu wanapigania haki na Sheria sio vurugu, sasa wewe kwa muonekano wa hoja yako ni kwamba unataka wajitokeze watu Ili wapambane nao, hilo halikubaliki maana ni uvunjufu wa Sheria zaidi.
  11. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa kabila la Kimasai wanapiga watu ovyo barabarani wapitapo Arusha

    Hawa ni Kero sana na wanavimba kwa sababu wanajua ukibishana naye wanakuja kundi kubwa la wenzake wa kimasai kukushambulia
  12. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa kabila la Kimasai wanapiga watu ovyo barabarani wapitapo Arusha

    Mimi ni Gen z ndugu yangu na hii mada Haina uhusiano na kilichotokea October 29. Kikubwa ni kwamba kila nchi hii ni yetu sote hakuna Mwenye haki zaidi ya Mwingine. Hawa vijana wa kimasai wanadhani hii Arusha ni Mali Yao ndio maana wanakuwa wakorofi
  13. Mussa Ramadhani Mussa

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa kabila la Kimasai wanapiga watu ovyo barabarani wapitapo Arusha

    Hata wakiwepo hao wanaume pengine mpo 10 mtaweza kupambana na kundi la watu 300+ wenye Silaha za jadi?
Back
Top Bottom