habar wanajamvi...nlkua naomba mnisaidie kwa yeyote
mwny ufaham niweze kupata hosteli za karibu na
chuo cha kairuki maana nimehamia hapo hlf nmekuta
pashajaa...samahan lkn
habar wanajamvi...nlkua naomba mnisaidie kwa yeyote mwny ufaham niweze kupata hosteli za karibu na chuo cha kairuki maana nimehamia hapo hlf nmekuta pashajaa...samahan lkn
ORiflame ni kampuni ya Sweden ambayo inasambaza
cosmetics, perfume za kike na kiume .ni networking
business ambayo kujiunga kwake ni sh elf9 tu na
kuchukua mzigo kwa laki moja tu.
Unachotakiwa ni kutengeneza point 100 kwa product
unazochukua na ambazo utazifikia kwa chini ya laki
moja. Na...
kaka nilienda kairuk moja kwa moja nkaongea nao kikubwa hlf wakapeleka jna tcu...ila hujachelewa wah kairuk hata kesho uongee nao wakiridhika na tokeo watakuchukua kama chance zpo...ndo ivo mkuu
Jamani naomba msaada wa mawazo, nilipangwa na TCU
St Joseph bachelor of computer engineering sasa
nimefanya transfer to hubert kairuk kuchukua
medicine.
Tatizo mkopo niliopewa n wa computer engineering, naomba mnisaidie mawazo.
Je ninaweza kuappeal helsb coz ada ya MD n kubwa sana...
jaman naomba msaada wa mawazo...nlpangwa na tcu st joseph bachelor of computer engineering sasa nmefanya transfer to hubert kairuk kuchukua medicine...tatizo mkopo niliopewa n wa computer engineering...naomba mnisaidie mawazo je ninaweza kuappeal helsb coz ada ya MD n kubwa sana ukilinganisha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.