Recent content by MUSSA GUETTA

  1. M

    msaada wa hostel kairuki

    habar wanajamvi...nlkua naomba mnisaidie kwa yeyote mwny ufaham niweze kupata hosteli za karibu na chuo cha kairuki maana nimehamia hapo hlf nmekuta pashajaa...samahan lkn
  2. M

    msaada kupata hosteli kairuki

    habar wanajamvi...nlkua naomba mnisaidie kwa yeyote mwny ufaham niweze kupata hosteli za karibu na chuo cha kairuki maana nimehamia hapo hlf nmekuta pashajaa...samahan lkn
  3. M

    Naomba kuuliza kwa wale waliochaguliwa kusoma Msumbiji

    raisi kapiga marufuku safari za nje....somen hukuhuku aseeee
  4. M

    UDOM info 1 and 2 tukutane kwa WAJASI

    nna mashaka na facult unayosoma kama sio naniliii...acha kuwaza msosi..piga kitabu dogo...
  5. M

    Fursa ya kutengeneza had 1 mil kwa mwezi

    kwa atakayehitaj maeleze zaid....anifate inbox
  6. M

    Fursa ya kutengeneza had 1 mil kwa mwezi

    ORiflame ni kampuni ya Sweden ambayo inasambaza cosmetics, perfume za kike na kiume .ni networking business ambayo kujiunga kwake ni sh elf9 tu na kuchukua mzigo kwa laki moja tu. Unachotakiwa ni kutengeneza point 100 kwa product unazochukua na ambazo utazifikia kwa chini ya laki moja. Na...
  7. M

    nmechanganyikiwa msaada plz

    Sa c msubiri na yy amalize....haraka za nn..akimaliza mkoani c utahama tu
  8. M

    Msaada: Uhusiano wa transfer ya chuo na mkopo

    Mikochen....fka had victoria hlf utaona kibao kaka...la msing we wakazie maana nackia cku iz wanabana pamejaa
  9. M

    Msaada: Uhusiano wa transfer ya chuo na mkopo

    kaka nilienda kairuk moja kwa moja nkaongea nao kikubwa hlf wakapeleka jna tcu...ila hujachelewa wah kairuk hata kesho uongee nao wakiridhika na tokeo watakuchukua kama chance zpo...ndo ivo mkuu
  10. M

    Msaada: Uhusiano wa transfer ya chuo na mkopo

    Jamani naomba msaada wa mawazo, nilipangwa na TCU St Joseph bachelor of computer engineering sasa nimefanya transfer to hubert kairuk kuchukua medicine. Tatizo mkopo niliopewa n wa computer engineering, naomba mnisaidie mawazo. Je ninaweza kuappeal helsb coz ada ya MD n kubwa sana...
  11. M

    transfer ya chuo na mkopo

    jaman naomba msaada wa mawazo...nlpangwa na tcu st joseph bachelor of computer engineering sasa nmefanya transfer to hubert kairuk kuchukua medicine...tatizo mkopo niliopewa n wa computer engineering...naomba mnisaidie mawazo je ninaweza kuappeal helsb coz ada ya MD n kubwa sana ukilinganisha na...
Back
Top Bottom