Shida mkiona muvi za ki ulaya Na America wanavyoigiza sijui kuwapiga maadui ndani umya ya lisaa mnataka katika uhalisia,Hivi kwamfano Nchi kama Tanzania Kwa ukubwa wake unaweza ndani ya Siku 3? Uichukue Morogoro,Mwanza,Musoma,Dodoma, Kagera,Songea ,Mbeya,iringa ,Katavi,Arusha,Kigoma n.k hapo...