Recent content by Mushi001

  1. Mushi001

    Chuo kikuu cha Dar es salaam

    mwanzo nilipanic bru asante umenitia moyo..
  2. Mushi001

    Chuo kikuu cha Dar es salaam

    kwenye second selection ndo nikaambiwa nimekuwa provisionally selected ila first nilikosa kabisa then wamenijibu leo asubuhi ndo provisionally selected ud course ndo hyo geograph and eviromental studies nilichagua mara yakwanza na kwemye secondround ya ud haipo hii course hapo nakuwa na wasiwasi
  3. Mushi001

    Chuo kikuu cha Dar es salaam

    hakina ladha kweli mkuu
  4. Mushi001

    Chuo kikuu cha Dar es salaam

    Wakuu habari zenu, Nikuwa selected UDSM kwenye provisionally results by TCU course ni enviroment and Geography studies na nilijaza first round hii caurse, Second round hawakuitolea majibu hii caurse. Nauliza hapa inakaaje[emoji17]
  5. Mushi001

    TCU: Mfumo wa Udahili wa pamoja(CAS) umefunguliwa kwa Awamu ya Tatu

    n kwasisi ambao bado hatukupata majibu second round baadhi ya vyuo inakuaje mkuu
  6. Mushi001

    Awamu ya pili: Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa vyuo mbalimbali nchini 2016/17

    daaaa sante mungu mmi niliaply second ukipata taarifa usisite kutujuza mkuu daaah naweza kupumua sasa
  7. Mushi001

    Anayefahamu tarehe ya kuripoti chuo cha (NIT) 2016/2017

    naomba link nipate kuangalia maana wengi tuliaply
  8. Mushi001

    Anayefahamu tarehe ya kuripoti chuo cha (NIT) 2016/2017

    samahani mkuu NIT washatoa post za degree jamni[emoji17]
Back
Top Bottom