Mnatuangusha sana i see... Nasikia hata hotuba ya bajeti ya waziri mkuu Mbowe ameshindwa kujibu. Analeta lugha mbovu na malalamiko ambayo hayapo kwenye bajeti. Tunamsubiri hai we ngoja.
Wabunge na akili zenu timamu mnakula pesa za walipa kodi alafu mnaenda bungeni kutoa hotuba iliyojaa uzushi.
Mnazunguka na kamati za bunge mnakula posho za bure,badala mjibu hotuba ya bajeti ya waziri mkuu, Kub analeta habari zingine kabisa.
Kwamba mlikula virungu au Kub hana nyumba na...
Huu ndio ukweli wa mambo, Tuliwaamini tukapoteza muda wetu kwa ajiri ya chama. Watoto wetu wameumizwa nyie mmebaki kujaza matumbo yenu tu.
Sasa hatutaki ukabila wala ushabiki tunamuunga mkono Rais Magufuli kama ndugu yetu Mrema alivyofanya.
Mbowe hapa Hai hatumtaki kabisa tena bora aache siasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.