Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ungeongeza sauti usikie vizuri.Ndo maana nimekuuliza kasema makosa yapi? Maana mimemsikiliza Ndugai kasema makosa tu hajayainisha
Ungeongeza sauti usikie vizuri.Ndo maana nimekuuliza kasema makosa yapi? Maana mimemsikiliza Ndugai kasema makosa tu hajayainisha
Maboya hao jamaa zako ambao badala wajibu hoja za bajeti ya waziri mkuu wao wanaleta stori za kupigwa mpaka kuvunjwa viuno,na stori za kuvuliwa nguo wakiwa gerezani.Bunge letu halijawahi kuwa na spika boya kama huyu
Jana kulikuwa na member humu. Alileta hoja ya "BUNGE KUWA MTUMWA" Aliyaeleza vizuri kuhusu utumwa huu, wa bunge kuacha majukumu yake na kuanza kazi ya kujikomba kwa watawala. Bunge tena si wawakilishi wa wananchi bali iko pale kwa niaba ya serikali dhidi ya wananchi.Katika hali isiyokuwa yakawaida Spika amezuia hotuba ya msemaji mkuu wa kambi ya upinzani bungeni
Spika amesema hotuba hiyo imejaa upotoshaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Wajinga hao hawajielewiMaboya hao jamaa zako ambao badala wajibu hoja za bajeti ya waziri mkuu wao wanaleta stori za kupigwa mpaka kuvunjwa viuno,na stori za kuvuliwa nguo wakiwa gerezani.
Chagu , ukiwa spika wa bunge la vyama vingi, huwezi kusikia yanayokufurahisha maskioni tu. Wapinzani wasikilizwe lakini wengi waamue . Ndiyo kanuni ya kuongoza mabunge pote duniani . Siyo hii ya bunge kugeuka kikaragosi cha serikali dhidi ya wananchi.Hali isiyo ya kawaida kivipi? We umesikia makosa yao yote toka kwa spika halafu unatetea upumbavu.
Sitta alitumika kuvuruga katiba mpya ya wananchi. Mwisho wa siku na uspika wakamnyima . Watu ni wasahaulifuPoor Ndugai ! kiti cha spika utakiacha utatoka tu .
Mkuu hebu tuwekee hapa tuisambaze kote Tanzania
Ndugai ana miezi michache tu , wala huna haja ya kutumia nguvuSpka ni mjinga wa sheria za mabunge. Anapaswa kufukuzwa kwenye kiti. Ila kwa kuwa bunge ni la CCM basi ameamua na ikawa.
Tanzania ni kanchi ka kidikteta. Ipo siku katapinduliwa kwa marungu na mapanga.
Ningekuwa spika wa JF hata huu uzi ningeufutaWabunge na akili zenu timamu mnakula pesa za walipa kodi alafu mnaenda bungeni kutoa hotuba iliyojaa uzushi.
Mnazunguka na kamati za bunge mnakula posho za bure,badala mjibu hotuba ya bajeti ya waziri mkuu, Kub analeta habari zingine kabisa.
Kwamba mlikula virungu au Kub hana nyumba na mshahara wa Tundu Lissu unahusika vipi?
Muwe mnajibu subject matter acheni kupoteza muda.