lqkini pamoja na yote nilimwambia kuwa mm nna matatzo ya mgongo so dokta kaniambia nicfanye kaz nnayofanya kwa miez 6 nipatiwe tiba then ntaendelea na shughulu zangu akakubaliana na hali yangu na kunipa moyo kiongozi na na tangu siku iyo sijamckia akililia shida zaid ya aliniambia anishindikize...
yani yeye swala la huduma alina kipaumbele aliwahi kuniambia kwamba anaona nna mawazo sababu ya 2mbo lake na kwakuwa ananipenda apend niwe kweny hali ile so akae mbali na mm yan nimuache coz kwa sasa ina miez mitano imeshakuwa kubwa sana kutoa ni hatari sana ila ningewahi kwenye miez mi2 au 1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.