Ndugu kwanza kabisa nimshukuru mwenyezi mungu kuniamsha salama na kuiona siku ya Leo hakika mungu anatupenda pia nimshukuru mhe wazir wa mambo ya ndani mh Kangi Lugola kwa nini nimshukuru kwani zile pikipiki zetu zilizokuwa zinaozea polisi hakika tembelea vituo vya polis hazipo tena na kwa sasa...
Ni sawa lakini ujue kila mtanzania anamuangalia yeye kazi ya uongozi bwana ni kipaji na tambua huwez kurekebisha kila idara ila kwa jinsi anavyoongoza 90% anafanya vizur just imagine watanzania tupo zaidi ya milioni 50 na kila mtu hapo anataka apate huduma sawa na mwingine kweli hata kama ni...
Kwanini nasema hivyo wana jamvi Mimi binafsi nimejaribu kuangalia nchi za ukanda wetu huu wa Afrika sijaona Kiongozi mchapakazi kama mzee MAGU Raisi wetu ukibisha utakuwa ujitambui na hakika unatakiwa kuombewa kwa kutojitambua na kuona neema hii tulioletewa na mwenyezi mungu Hakika Tumtunze kwa...
Ndugu kuumwa si tatizo katka maisha ya mwanadamu ila tatizo ni wewe kwani taarifa umeitoa kana kwamba Chadema ndio chanzo cha kuumwa kwake. Ndug think twice before you keep
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.