Acha kuongea upuuzi wewe kwani Gwajima alikemea kanisa la Rc? Au alimkemea pengo na ulitembelea waumini wake ukakuta wanakula mlo mmoja? Sijui umekula maharage ya wapi wewe
Unaakili ndogo sana na ufahamu wako sio mzuri jichunguze sana
Hakuna mtunishi wa Mungu anayechaguliwa na watu Bali Mungu humchagua mtumishi wake anayependezwa nae na kuweka karama ndani yake sasa wewe kama unafikili mtumishi w Mungu lazima achaguliwe na watu umepotea sana na ujichunguze sana
Sijawahi ona serikali pumbafu kama hii Mali za Gwajima zinawahusu nini wameshindwa kuwahoji mafisadi leo hii wanahoji mali za Gwajima si bure kunakitu hapa katikati
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.