Recent content by Murwa

  1. M

    Rest in Peace Gaddy Groove from the Kwanza Unit

    Mmeifikisha Hip Hop ya Tz mbali sana Kwanza Unit - Msafiri | Muziki.net
  2. M

    Kigoma All Stars

    Kigoma All Stars
  3. M

    Kigoma All Stars

    good work Kigoma All Stars
  4. M

    Stella Mwangi umemsikia!!!!

    hii ni kali sanaStella Mwangi - Bad As I Wanna Be | Muziki.net
  5. M

    Unamuongeleaje Chdi Benz na wimbo huu mpya?

    jamaa kamshirikisha Ben Paul katika Nipokee, nipe maoni ukiusikiliza Chidi Benz ft Ben Paul - Nipokee | Muziki.net
  6. M

    Enzi za Kanda Bongoman na Shala Mwana, muziki una raha yake......

    Nikikaa mi hii ndio top 3 yangu sijui wewe mdau! 1. Yondo sister Yondo Sister - Mbutumutu | Muziki.net 2.Sokous star Sokous Star - Sophia | Muziki.net 3.Pepe Kale Pepe Kalle - Gerant | Muziki.net
  7. M

    Lawama zimwendee Mwana FA au Dully Sykes ?

    Kuna scandal kwamba huu wimbo wa Ameen - Mwana FA ft Dully Sykes & AY | Muziki.net umekua sampled kutoka moja ya nyimbo za mwanadada mJamaica, sasa ingawa watu kibao hufanya hivyo ulaya na inakua kitu cha kawaida, je kwa hili letu nani alalamikiwe?
  8. M

    Bongo Flava imekua ngumu au Ferouz tuu ndo kabadilika?

    kitendo cha huyu jamaa kuhamia kwenye kutiririka mi sikielewi kabisa, au ndo muziki wenyewe huu wa sasa ...wauonaje wimbo wake huu Ferooz ft Shaz Dear - Ndege Mtini | Muziki.net ?tiririka........
  9. M

    Bolingo enzi hizoo....ulikua wapi kipindi hicho na ulikua wafanya nini?

    Matcha Matcha nimeiona hapa kaka...enzi hizo si mchezo Diblo Dibala - Matchatcha | Muziki.net
  10. M

    Bolingo enzi hizoo....ulikua wapi kipindi hicho na ulikua wafanya nini?

    hii sasa kitu double double Nyiboma - Double double | Muziki.net
  11. M

    Bolingo enzi hizoo....ulikua wapi kipindi hicho na ulikua wafanya nini?

    Kipindi Nyiboma anatamba kwa redio zote Tanzania na Maya maya maya maya mo Nyiboma - Maya | Muziki.net
  12. M

    Bolingo enzi hizoo....ulikua wapi kipindi hicho na ulikua wafanya nini?

    Kipindi Nyiboma anatamba kwa redio zote Tanzania na Maya maya maya maya mo Nyiboma - Maya | Muziki.net
  13. M

    Diva na Diaomond wajiachia pamoja

    Nimebahatika kutana na songi lao wanaliita Piga simu liko hot n mbaya Diva ft Diamond - Piga Simu | Muziki.net
  14. M

    Kuna umuhimu gani wa wanamuziki kuweka nyimbo zao online ?

    je wewe ni mmoja kati ya wale wanaokubali kuwa biashara ni kujitangaza? na hizi music websites zaturahisishia upataji wa music nchini? mfano BONGO STAR LINK , Popular songs | Muziki.net , na zingine kibao ambazo sijabahatika sizikia...toa maoni yako
  15. M

    Ubora wa CHADEMA na unafiki wa CCM

    twarudi kule kule, yawezekana ikawa sasa ni muungano ccm na chadema sote tunaulilia, au Juma Nature nae aliona kwa jicho la tatu Juma Nature ft Prof J - CCM na CUF | Muziki.net
Back
Top Bottom