Duu paskal kweli umeona mbali baba sarakasi hii ni kubwa kweli kweli na kuna watu imewalenga hakika kabisa hichi ni kiini macho kwa ajili maalum hakika umenena kwa mambulula hawatokuelewa
I'm civil engineer yap upo inatakiwa kujenga overpass just that na wala sio gharama kubwa just retaining wall more fill n the bride n folleni is history hey tanroads ndyamukama mfugale aangalie I hilo mlitekeleze ni rahisi sana haitaji hata kumshirikisha jiwe
Na kweli kabisa hamna pigo lolote kwa dicteta kama mugabe kufariki alikuwa kiongozi wa ovyo kuliko unanyofikiri amewaacha wa Zimbabwe hoi ni yy na familia take pekee ndo waliokuwa wakiishi peponi na comred wa zanupf waliomhakikishia kubaki madarakani mwisho wa siku akataka kumrisisha mkewe urais...
Sawa tunakubali lakini usifananishe CIA na hii kitu yetu wale wenzetu hata no 1 akiwa anazingua nae pia wanamfanyia zengwe na anakalishwa either by assassination or other way, wapo wachafu lakini huwa hawa survive
Kujali masikini wapi unaowaongelea ww umaskini umekithiri mara dufu katika awamu hii milo miwili tu imekuwa mtihani Achana na mitatu sasa sijui ww unaishi nchi gani unayoiongelea hapo
Kwanza jaribu kutofautisha kati ya taifa na serikali watu wanapinva utawala dhalimu unaosigina katiba wa serikali ya awamu ya tano, sio taifa la awamu ya tano taifa letu litabaki serikali dhalimu itaperish
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.