Alianza lini na hilo Tatizo? Kama ni tangu alipokuwa mdogo sina la kukuambia. Ila kama limemuanza uzeeni basi ni vizuri ukampeleka akafanyiwa vipimo vya Kidney. Kama anazo symptoms nyingine unaweza kuzisema??
Kama Dactari hajui CLINICAL METHODS, Basi hata kama atapewa Vifaa vya Maabara vilivyotengenezwa leo Bado atakuwa hawezi kutibu watu. Ndio maana kuna Clinical Diagnosis....
Dar es Salaam. Waziri wa Uchukuzi Dk Harrison Mwakyembe ameipa siku moja Menejimenti ya Mamlaka ya Bandari (TPA) kutaja majina ya watu wanaoiba mafuta katika bomba kubwa la kupakulia mafuta bandarini (SBM). Alisema wezi hao bila woga wowote wametoboa bomba hilo ambalo ujenzi wake umeigharimu...
Wana JF, Kuna nyepesi kwamba wanafunzi Watanzania wanosoma nchini Cuba Maisha ngumu kweli Kufuatia hali ya maisha kuwa juu sana ukulinganisha na pesa yao ya mkopo wanayotumiwa na HESLB! Waliomba Govt iwaongezee lakini mpaka leo wamepigwa chini, wanaendelea tu kujililia maisha magumu huko waliko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.