Muungano ni mzuri ila usiwe wa maslahi hasa ya madaraka! Muungano ndio uliondoa KANU ya Kenya madarakani hivyo Nape anawasiwasi kuwa Ccm wanaondoka madarakani 2015""! UKAWA go ahead you'll successed !
Hizi ni mbinu dhaifu za ccm na hakuna haja ya kutishia amani ya nchi yako huku unajiita mzalendo na kiongozi! Haya yote rais anayasikia na kuyashuhudia ila kwasababu ni mwana ccm basi no further action! Please Mr. President be neutral and act as the head of the state coz our lives are on your...
Tulishazoea na ccm na njama zao za udanganyifu lakini sasa wajue kuwa tuko makini kuliko maelezo! Wao wafanye wafanyavyo lkn wananchi sisi ndo final! Voting tu will show them that we're tired of their sweet lies!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.