Recent content by MUNYU THEDOCTOR

  1. M

    Jaribuni biashara hii kwa mtaji wa 160000 tu!

    Hahahahaaa! Sent from my Nokia ya tochi using JamiiForums
  2. M

    Mwakyembe anatudanganya na wauza unga wake!

    Sisi sio watoto wadogo, unga unaouzwa Bongo haupiti uwanja wa ndege, wala haubebwi kwenye hivi vibegi vya kusafiria wala mtu kujipeki. UNGA UNAPITA BANDARINI, NA SIO KWENYE MABEGI, UMEPEKIWA KWENYE VIPULI VYA MAGARI NA MAGARI YENYEWE. Kwenye vipuli vya Baiskeli na MITUMBA! We mtu anaagiza tu...
  3. M

    Siku 3 wizara ya afya

    mi wananiudhi kweli hawa jamaa, badala waanze na akina sie ambao hatuna hata kacheti wanadeal kwanza na mijitu ambayo iko kazini na inapiga hela za kutosha! Tena na kwenda kusoma nje na kwa udhamini wa serikali! Wizi mtupu! Halafu akina sie baadae tunaambiwa hakuna udhamini! Haileti maana hii.
Back
Top Bottom