hatari Sana elezea hiyo biashara kwa ufasaha Mzee mitaji ipo syo una rukaruka tu 😂😂 sema Kama hizo Dolla ukinunua bank kutoka USD to TSH tunapiga kiasi fulani au unauzaje huo mzgo 😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.