Nimekua nikimfatilia Lowassa na nimebaini haya yafuatayo:
Lowassa pamoja na kuwa afya yake bado si nzuri lakini si dhaifu.
Nimekuwa nikifatilia anachozungumza na nimebaini kina nguvu kuliko watu wanavyotazama afya yake.
Ni tofauti na wagombea wengine na namna wanavyoongea wanaonekana wanaudhaifu...
Kampeni za Mwaka huu kuelekea uchaguzi mkuu zimekuwa na sura tofauti kidogo na miaka mingine hoja ya kujaza watu mikutanoni imepewa kipaumbele kikubwa na kuongeza makeke kwa pande ambazo ni kama hazina uhakika sana wa kupata watu kwenye mikutano yao wasanii wengi nao wamekuwa kwakiyumbishwa na...
Ndugu wanajamvi nimemsikiliza Dr Slaa na kaniacha na maswali kadhaa 1. Alipozungumzia mshahara aliokuwa akilipwa chamani kwa nafasi yake na kusema pamoja na mshahara kuo aliamua kuwekeza chamani na yeye na familia yake kula maharage na mihogo
Swali: Kama ndivyo ilivyo Nani amelipia Gharama za...
Jana kwenye mkutano wa ccm Songea Nchimbi alisema hatutaki bora rais tunataka rais bora na rais huyo ninani maelfu wakajibu Lowasaaaa akajaribu kufunika funika lakini ka video kametembea sana kwa fb
MIKONO NA MIGUU KUFA GANZI INASABABISHWA NA NINI? NUMBNESS IN HAND AND FEET
TATIZO LA MIKONO/MIGUU KUFA GANZI
Katika mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na kufa ganzi kwa viungo vya pembezoni mwa mwili
yaani miguu na...
Mshahara wa Dhambi ni Mauti na kawaida ya mauti wakati mwingine huja kwa Homa ya muda Mrefu kisha umauti hutokea, kuna maneno katika biblia yanasema usidharau siku ya mambo Madogo. Upinzani wa mwaka huu pamoja na kuwa ccm wanaiga na kusema si tishio kwao ni vyema wakatafakari upya wapi wamekosea...
Na Je ikitokea ikawa kweli mtafanyaje?maana kimsingi naona watu wamepanic hakuna hoja ya msingi.
Zitto alianza kusemwa kuwa yupo Act Kabla hajatoka chadema na watu mkaongea sana mkisema ni fitina Leo ndo CEO wa act na bado akipiga mkutano anapata raia wa kumsikiliza.
So usishangae wengine...
Kumbe wana pesa? Sasa kwanini wasiimarishe uwezo wa kiintelijensia kwa askari wao? Maana si kawaida watu wawe silaha zote hizo afu asiwepo hata wa kujitutumua kwa kituo kikubwa kama kile.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.