Tumia njia hii kuhakiki data zako za kupiga kura

Ngonini

JF-Expert Member
Sep 1, 2010
2,023
563
Nimeona post nyingi zikiulizia kuhusu uhakiki wa data za mpiga kura!
Mimi nilitumia njia ya online juzi nikafanikiwa kuona data zangu zikiwa sahihi! Inaonekana bado wanaendelea kuload data hivyo kuna baadhi ya watu mnaweza kuta bado data hazipo, ila baada ya muda zinakuwepo!


Ingia tu kwenye hii link ya nec:
voters.nec.go.tz:8081/vote
kisha ingiza namba ya kitambulisho chako inayoanza na T kama ilivyo andikwa kwenye kitambulisho!

utaletewa record ya data zako kuona kama ziko sahih! kama siyo sahihi,kuna sehemu una click kupata maelekezo ulzaidi!
 
Nimeona post nyingi zikiulizia kuhusu uhakiki wa data za mpiga kura!
Mimi nilitumia njia ya online juzi nikafanikiwa kuona data zangu zikiwa sahihi! Inaonekana bado wanaendelea kuload data hivyo kuna baadhi ya watu mnaweza kuta bado data hazipo, ila baada ya muda zinakuwepo!


Ingia tu kwenye hii link ya nec:
voters.nec.go.tz:8081/vote
kisha ingiza namba ya kitambulisho chako inayoanza na T kama ilivyo andikwa kwenye kitambulisho!

utaletewa record ya data zako kuona kama ziko sahih! kama siyo sahihi,kuna sehemu una click kupata maelekezo ulzaidi!


Naomba niiweke vizuri!

Jamani tusipoteze muda kwenda vituoni wala kutumia *152*00#

FUNGUA hii link:

http://voters.nec.go.tz:8081/vote/search/execute_search

Fuata haya MAELEKEZO:

1.Tumia ukurasa huu kuhakiki taarifa zako kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura.
2.Ingiza namba kama inavyoonekana kwenye kitambulisho chako cha Mpiga kura,Mfano T-1000-1000-100-0.
3.Baada ya kuingiza nambari ya kitambulisho cha mpiga kura bonyeza kitufe kilicho andikwa "Tafuta".

Sasa sijuhi ukijibiwa HUJAANDIKISHWA INAKUWAJE....??
 
mkuu JP umeiweka vizuri, tume ya uchaguzi ni kama hawataki vile, wanafanya kazi bila kufanya mawasikiano makini! Wanawaambia watu waende kwenye vituo ili hali hata hizo data tu bado zingine hazijawa tayari kwenye database!
 
Kumbuka hii link siyo lazima uwe na computer hata kwa simu yako unaweza kuingia tu!
 
Kwa kuongezea tu, kuanzia kwenye T.... uandike kama ilivyo kwenye kitambulisho, usiache hizo dash.
 
Asante Mkuu,

Mimi nimejihakiki...
Naomba niiweke vizuri!

Jamani tusipoteze muda kwenda vituoni wala kutumia *152*00#

FUNGUA hii link:

http://voters.nec.go.tz:8081/vote/search/execute_search

Fuata haya MAELEKEZO:

1.Tumia ukurasa huu kuhakiki taarifa zako kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura.
2.Ingiza namba kama inavyoonekana kwenye kitambulisho chako cha Mpiga kura,Mfano T-1000-1000-100-0.
3.Baada ya kuingiza nambari ya kitambulisho cha mpiga kura bonyeza kitufe kilicho andikwa "Tafuta".

Sasa sijuhi ukijibiwa HUJAANDIKISHWA INAKUWAJE....??
 
Nimeona post nyingi zikiulizia kuhusu uhakiki wa data za mpiga kura!
Mimi nilitumia njia ya online juzi nikafanikiwa kuona data zangu zikiwa sahihi! Inaonekana bado wanaendelea kuload data hivyo kuna baadhi ya watu mnaweza kuta bado data hazipo, ila baada ya muda zinakuwepo!


Ingia tu kwenye hii link ya nec:
voters.nec.go.tz:8081/vote
kisha ingiza namba ya kitambulisho chako inayoanza na T kama ilivyo andikwa kwenye kitambulisho!

utaletewa record ya data zako kuona kama ziko sahih! kama siyo sahihi,kuna sehemu una click kupata maelekezo ulzaidi!

Ina maana wewe ulicheki mara ya kwanza ukaambiwa jina lako halipo? Mimi nikiim
ngiza namba yangu zinakuja particulars za mtu mwingine
 
Asante mwanajamvi nami pia nimehakiki na taarifa zangu zimekuja vizuri kabisa! Nasubiri siku ya kupiga kura Mungu akijalia uhai!!!
 
Naomba niiweke vizuri!

Jamani tusipoteze muda kwenda vituoni wala kutumia *152*00#

FUNGUA hii link:

http://voters.nec.go.tz:8081/vote/search/execute_search

Fuata haya MAELEKEZO:

1.Tumia ukurasa huu kuhakiki taarifa zako kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura.
2.Ingiza namba kama inavyoonekana kwenye kitambulisho chako cha Mpiga kura,Mfano T-1000-1000-100-0.
3.Baada ya kuingiza nambari ya kitambulisho cha mpiga kura bonyeza kitufe kilicho andikwa "Tafuta".

Sasa sijuhi ukijibiwa HUJAANDIKISHWA INAKUWAJE....??

Mimi nimejatibu mara kibao naambiwa niende kituoni. Labda ndio wanaendelea ku upload kama unavyodai?
 
Mimi nimejatibu mara kibao naambiwa niende kituoni. Labda ndio wanaendelea ku upload kama unavyodai?

Hawajamaliza ku upload lakini hawasemi. Wanataka watu wakate tamaa. Mimi nitaenda halafu watanambia nimetoa wapi kitambulisho kama jina halipo. Mikoani watu wamekata tamaa na wanasema siku ya uchaguzi wasimamizi waandae maelezo kwamba vitambulisho watu wamevipata wapi kama jina hakuna.
 
Inaonekana kama ni njia ya kukusanya namba za voter's id ki-ujanjaujanja vile?

Natambua kuwa, kuna wajumbe wa nyumba kumikumi karibu maeneo yote nchi nzima wanakusanya namba za wapiga kura kimya kimya, pengine mwitikio ni mdogo....sasa mmekuja na hii ishu ili watakao ituma hiyo namba nyie mnazidaka kiulainii!

Kwanini isitangazwe kwenye vyombo vya habari kama njia hii ni sahihi? na siyo ulaghai kwa wananchi?

ONYO; Za kuambiwa changanya na zako!
 
Back
Top Bottom