Wadau wa dar ndio wanaonunua ng'ombe saana toka uku, unaweza anza na ng'ombe wako wawili tu unawapa supplement ya vyakula ya kutosha kama pumba,mashudu yenye mchanganyo mzuri pamoja na madini utalisha majan kdogo saana pia atazarisha maziwa mengi na soko lipo vizuri kwa siku unauhakika wa lita...
Hawa wakwetu wanastahimili mazingira mkuu kwa maeneo yenye joto kali usianze na pure breed anza na Cross breed
Pia aryshire ndio wanastahimili zaidi, bila shida unaweza kaa na ng'ombe zaidi ya miaka kumi kama umechukua mtamba
Ng'ombe wa maziwa ni miongini mwa miradi bora saana ambayo ikisimamiwa na kuendeshwa kisasa inatija kubwa na inaweza kukunufaisha na kukukwamua kiuchumi.
Njoo tukuuzie ng'ombe bora wanastahimili mazingira tofauti kwa mikoa yote Tanzania bila kuteteleka kiafya na kiuzalishaji
Njoo ujifunze na...
Ng'ombe wa maziwa ni fursa kubwa katika mikoa mingi Tanzania ni mradi unaojiendesha na una return kubwa endapo utafanya usimamizi na uwekezeji mzuri
Endapo unapenda ufugaji na unahitaji kuanza kufuga zingatia yafuatayo
Fanya utafiti kuhusu
* Soko la maziwa katika eneo ulilopo
*Hari ya hewa na...
Asante Ndugu tunaweka namba hapa ili potential customers watutafute tuwasiliane na wapate ufafanuzi wote huo maana huwez weka description zote hapa tuna tuna pure breed wenye uwezo mkubwa I think baadhi ya wadau humu tumewauzia ng'ombe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.