Recent content by munroe

  1. munroe

    Kwanini CHADEMA linapokuja suala la mashahidi kwenye kesi ya Lissu wanapaniki sana wanatamani wasiwepo, wanaogopa Nini au wanajua?

    Bora ungekaa kimya usikilize watu wenye uelewa wakuelekeze vizuri jambo hili kuliko kuandika hizi takataka. kwani ukiwa chama tawala ndio hata akili unatumia za viongozi wako
  2. munroe

    Imewezekanaje Harbinder Sethi kushiriki siasa za CCM huku akiwa ni raia wa Kenya?

    Haya majizi na mafisadi papa yamepata upenyo sasa
  3. munroe

    PreGE2025 Kazi ya CHADEMA ya kusambaza “No Reform, No Election” imekuwa Nyepesi sana, kutokana na Elimu kabambe wanayopewa wananchi

    Mfumo uliopo hakuna uchaguzi mamlaka ya raisi dhidi ya tume na vyombo vya usalama ni kubwa mno ambaye ndio mwwnyekiti wa chama chake na mgombea
  4. munroe

    Karibu ujipatie ng'ombe wa maziwa Tukuyu Mbeya

    Amezaa ana week moja ndama wake jike
  5. munroe

    Karibu ujipatie ng'ombe wa maziwa Tukuyu Mbeya

    Unaweza chukua majike tupu wenye Mimba kwa baadae utakuwa unawafanyia upandikizaji, au upate dume mmoja bora
  6. munroe

    Karibu ujipatie ng'ombe wa maziwa Tukuyu Mbeya

    Ng'ombe wazuri saana
  7. munroe

    Karibu ujipatie ng'ombe wa maziwa Tukuyu Mbeya

    Ndugu zangu bei nikulingana na sifa za ng'ombe mfano mwenye maziwa lita 20 kwa siku bei yake 2.7m Kwa maelezo zaidi nipigie 0756416149
  8. munroe

    Karibu ujipatie ng'ombe wa maziwa Tukuyu Mbeya

    Tunauza ng'ombe bora wa maziwa aina ya aryshire, freisian, jersey. Na crossbreed zake Bei zake ni rafiki kulingana na ubora wake Tunao ndama, nusu mitamba,mitamba, wanaokamuliwa, wenye mimba kubwa Wenye mimba na miziwa na kuendelea. Tupigie au tuma ujumbe WhatsApp kwa picha na maelezo zaidi...
  9. munroe

    Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa ni fursa kubwa kiuchumi

    Tupigie 0756416149
  10. munroe

    Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa kibiashara

    Dume ana miezi tisa na nusu mtamba miezi kumi
  11. munroe

    Ufugaji wa ng'ombe wa maziwa ni fursa kubwa kiuchumi

    Ng'ombe wetu ni bora na wanastahilmili mazingira tofauti
  12. munroe

    Ajira za bara tunaomba wote, lakini za Zanzibar wanataka Mzanzibar pekee

    Muungano wa hovyo kabisa huu hata ardhi wao wanahaki ya kumiliki wakati sisi hatuna mamlaka hayo kwao Tumewalea vyakutosha
Back
Top Bottom