Hakuna kitu ambacho sikujaribu kwa wakati huo labda mwani maha haukuwa unatangazwa sana kama sasa.
Ila supplements na mitishamba nilitumia sana lakini sikuona matokeo.
Nikakubaliana na hali kuwa sikuzaliwa na kiwango kikubwa cha kuzalisha maziwa hasa week za mwanzo baada ya kujifungua
Nilitumia kila kitu nilichokuwa naambiwa kuwa kitafaa ila nadhani msongo wa mawazo na hofu kwa baadhi yetu huwa unachangia kukosa maziwa.
Mtoto wa kwanza yeye alipewa maziwa yoka tupo hospital. Ila huyu wa mwisho nurse alikataa kabisa nisimpe chochote na ikachangia kupata hiyo manjano sababu ya njaa
Mimi pia mtoto wangu wa mwisjo alipitua hii changamoto nashukuru Mungu tulivuka salama kwenye hili.
Nachoona ni mtoto kukosa maziwa kwa wakati mimi huwa nakaa mpaks siku 2 ndo maziwa yanatoka. Waruhusu maziwa mbadala kwa wale wenye changamoto ya kukosa maziwa mara baada ya kujifungua
Huna tofauti na wale vijana wakitongoza binti na kukataliwa wana waua. Sio lazima kila unachoomba upewe lakini pia huenda huna hadhi sawa na unayemtongoza tafuta level zako
Haliuzwi sehemu ni unatajiwa vifaa vya kununua wewe ndo unaenda vitafuta.
Labda kama siku hizi wemerahisisha kwa wale wavivu ila sio lazima uchukue hapo
Begi ni lolote unaloweza kuwekea vifaa,
Pamoja na vifaa vilivyotajwa hapo juu ni vizuri pia waweke khanga kadhaa, vitenge na nguo za mama mjamzito za kudalisha baada ya kujifungua.
Huwarahisishia sana kazi nurses wanaowahudumia wajawazito mana begi huwa lina kila kitu hivyo hata mama hasumbuki.
Uache kulaumu wanao mfira uje ulaumu wanawake una kichaa wewe kwani walimshikia miguu. Mijibaba ya jf mnakera kila tatizo lawama mnawapa wanawake khaaa kwa style hii ya kulalamika acha muendelee kuliwa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.