Kazi za ujenzi ni ngumu sana na inabidi kuwa na uangalifu sana. Migogoro mingi inahusu malipo na ubora wa kazi. Kuna hatua kadhaa inabidi kuzichukua.
1. Kabla ya kazi kuwa na mkataba ulioandikwa.
2. Kuwe na hesabu ya kazi iliyoandikwa ikielezea kazi zinazotakiwa kufanyika na gharama zake.
3...
Ni maajabu sana kuwa kwenye nchi yenye madini ya dhahabu eti umewekwa utaratibu wa kuwa na hofadhi ya dhahabu isyozidi tani tano.
Sababu zenyewe za kuuza wanadai ni kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu. Miundombinu ipi? Je bajeti imefeli?
Kama jina la nchi Tanganyika lilianza kutumika baada ya Mkataba wa Vessailess kama Tanganyika Territory. Hapo kabla eneo hili liliitwa German East Afrika.
Uchaguzi wa jina ulitokana na uwepo wa ziwa Tanganyika.
Mwigulu anaongea kwa kufoka. Anamfokea nani? Kama hawataki kujirudi na kukiri uhusika wa serekali katika maafa ya uchaguzi ni bora wakae kimya. Wanavyoongea wanaharibu zaidi.
CCP ya China ni chama chenye maono na wanatumia Meritocracy yaani Uwezo wa Kiongozi unakuwa vetted na muendelezo wa matendo na akili yake kwa muda mrefu.
Wanapanga mipango yao mbele ya wakati.
CCM kwa upande wake ilikuwa wakati wa kuundwa kwake ikiwa na misingi ya kutetea Wakulima na...
Pole sana
Nimekuwa natafakari bila majibu namna polisi walivyoweza kufanya mauaji ya kikatili vile. Kwa lipi walilokuwa nalo? Au wanajiona nao ni tabaka tawala? Nakosa majibu.....
Nimekumbuka tume ya Jaji Kisanga ambapo baada ya kutoa taarifa, Rais Mkapa alifoka kuwa walienda nje yaa maelekezo.
Kwa hiyo; hii tume iko na script tayari
Zanzibar kuna mji mkongwe na urojo, pia kuna fukwe nzuri huko Nungwi, Kendwa, nk. Pia kuna Pomboo(dolphins)huko Kizimkazi Dimbani.
Kuna pori la Jozani lenye Tumbili pia kuna shamba la viungo huko Kizimbani.
Idd Amin alikuwa amechukua Nchi ya Uganda kwa Mapinduzi hivyo ilikuwepo hali ya mauaji ya watu walioshukiwa kuwa walitaka kumuondoa madarakani. Pia Nyerere aliwapa hifadhi Obotte na watu wake na kuna kipindi walishambulia Uganda na kuchapwa.
Pia vita ya Kagera Nyerere hakuwa na sababu ya...
Kuna plan yake? Au ulimpa Elevation tu ili atoe nyumba kwenye picha?
Hapo upungufu upo kwenye veranda kwa kuwa kaweka bati badala ya zege. Mengine yote yanarekebishika..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.