Ulivyoandika tu hard working ndio umeharibu
Kazi kubwa na kuu kuliko yote ya mke ni kumtii na kumheshimu mumewe, mengine yote ni ya ziada tu.
Baada ya utii na heshima sasa ndio mume anaanza kuhesabiwa makosa, nje ya hapo mume will always be on the right.
Such a wonderful overview ...
Labda tu nikuambie, hilo ni suala la kawaida sana na linatokea kwa karibia watu wote women/ old men with job; I have also been there na naamini baadhi ya sababu ni kama zifuatazo:
1. Kwa wanawake, muda sahihi wa kuolewa ni as soon as possible vile mnavozidi kuwa...
Mkuu
Pole sana na pole nyingi zaidi kwa mgonjwa, tunawaombea faraja na uvumilivu katika kipindi hivi kigumu
Experience
APOLLO ni 1 ya hospital bora kabisa in terms of support, price and customer services.
APOLLO have 1 of the best support system kuanzia patient recruitment, support na huduma...
Kingine .......
Dar, wali huliwa na zaidi ya mboga 1 na mara nyingi mboga 3 ama zaidi jumlisha maji ya kutosha ama soft drink, say nyama italiwa na maharagwe pamoja na veggies wakati mokoani na vijijini hii sio sana.
Na ukishazoea, mboga mboga huwa zinakawaida ya kukaa sana tumboni kuliko...
As long as mmeshaoana then kwa kuanzia kabisa huyo ni wako.
Haya kwenye kwenye ombi la ushauri sasa:
1. Fanya mbanga u confirm kama mtoto ni wako ama lah, kama ni wako then jipige kifua; umevuka kihunzi cha kikubwa cha kwanza
2. Usidanganyike na ukamilifu wa uyaonayo, ndoa nyingi sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.