Recent content by munimuni

  1. M

    Wanasema dunia duara kweli nitakuja kukuona tena?

    Habari wana jamii forum poleni sana na majukumu ya kila siku na harakati za kutokomeza hili zimwi jipya la nga'mbo linalotuandama..kwa waliofunga asalaaam aleikum mola aendelee kupokea dua zenu..haya niende moja kwa moja kwenye mada..ilikuwa mwaka 2015 sikumbuki mwezi wala terehe wakati nikiwa...
  2. M

    Natafuta kazi ya upishi

    Habari wakuu, Polen sana na majukumu nimekuja kwenu kwa mara nyingine tafuta kazi ya upishi. Mimi ni mpishi mzuri sana wa bites na chakula.
  3. M

    Nahisi nina uraibu wa ngono

    Asante kwanza kwa kuelewa maana imekuwa ngumu kwa mtu kuelewa labda awe mtaalamu kdg wa haya masuala mm pia mwanzo nilishindwa kujielewa lkn baada ya kukutana na wataalamu na kunieleza kidg nmepata mwanga...kama matibabu nifanya sana n session nishaenda jama zote lakn tatizo limekuwa mm kwny...
  4. M

    Nahisi nina uraibu wa ngono

    Asante sana nitajitahidi smzaidi
  5. M

    Nahisi nina uraibu wa ngono

    Pole nitakutafuta nijue umefikia wapi
  6. M

    Nahisi nina uraibu wa ngono

    Ni kweli mapenzi ni changamoto kwangu
  7. M

    Nahisi nina uraibu wa ngono

    Asante nitalifanyia kazi
  8. M

    Nahisi nina uraibu wa ngono

    Watu wanasema mficha maradhi kifoo huumbua ..mwanzo nilijua ni mihemko tu ya ujana na umri utakavyozidi kwenda mambo yatakuwa tofauti lkn sasa umri umeenda na kasi imekuwa n 5G,hii kitu ni balaa n zaidi ya njaa na kiu. Na si kwamba natembea na wanaume hovyo hapana ila huyo mmja niliye nae huwa...
  9. M

    Ulishawahi kumpenda usiyemfahamu kwa sura?

    Mm niliwahi mpenda mtu humu jf kwa sababu ya content zake tu na mwisho nikajaliwa kupata kijana nae lkn mwisho wa siku alisepa kama upepo
  10. M

    Msaidizi wa kazi za ndani (binti) anatafuta kazi

    Binti wa miaka 25 mkazi wa Dar es Salaam anatafuta kazi iwe ni usaidizi wa kazi za nyumbani za kwenda na kurudi au mgahawani. Ni mchapakazi, msafi na mpishi mzuri sana. Kwa anayehitaji AniPM
  11. M

    Dada wa kazi anahitajika Dar es Salaam

    Write your reply...naomb nitafute 0678174239 kuna binti n mpsh mzur sana n mchapakaz
  12. M

    Dada wa kazi anahitajika Dar es Salaam

    yupo binti ana miaka 25 n mpishi mzuri sana na anauzoefu wa kufanya kazi izo namb zake n0678174239
Back
Top Bottom