Master Pla nimemjibu huyo sina maana ya hoja yake ambapo si kweli najua Lowasa ni mshindi hili halina upinzani na tuna machungu sana. Unisamehe kwa kueleweka vibaya.
Hata ungeenda wewe na mkeo anavaa maksi na haongei vibaya usingepata watu wanahonga na kuiba vitu anavyofanya huyo mshindi waulize wa huko mfano kwa Tibaijuka napo ni tabia nzuri? je Chenge na wengine wana lugha nzuri? mbona wameshinda? je kushindwa kwa Lowasa mkewe ana lugha au vaa vibaya? siku...
Jana gari 50 uda zimesomba watu kuwaleta uwanja wa TP kwa nn wanajidanganya nilishangaa sana na kuhakikisha ili angalia woote wana sare na angalia ukawa uone tofauti watu hawaletwi upendo humsukuma mtu kufanya bila shuruti ama kweli tumeona mengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.