Ukumbuke hata wapinzani wengine ni mapandizi na wanafiki.,sasa kama wewe na wenzio mlioikimbia Chadema Lisa hamumtaki Lisu inaweza kutegemea nini!! Hata kwenye andiko lako umetaja watu wanaoumizwa kwenye nchi zingine umesahau kwa makusudi ya kwako ili usimtaje Lisu.
Jamani Tido kwa umri wake ni Mzee,na kwa vyovyote anajipenda,Tido wakati wa Magu alipewa kesi ya uhujumu uchumi. Kwa akili ya kawaida ni lazima aone utawala huu kwake ni muhimu na unamfanya kuwa salama.
CCM hawawezi kumuacha salama akileta ujuaji wa maswali ya kuwafedhehesha.
Ile ilikuwa ni...
Mwabukusi na TLS yake walipoomba kuonana na Rais bila shaka kulikuwa na maridhiano ya nini wanaenda kujadili. Aidha nijiridhishe sidhani kama ingekuwa busara kwa Mwabukusi kulipukq kuwa tumemuarisha Rais amuachie Tundu Lisu haraka, hiyo isingekuwa na tija kwa yaliyowapekeka. Hata kama...
Hakwenda kama Mwabukusi alienda kitaasisi.
Na yule Mkuu pamoja na mapungufu yake anabakia kuwa mkuu wa nchi.
Ni sawa na kwenda mahakamani ukamkuta hakimu anyesikiliza kesi yako anamfahamu ana vituko vingi huko mtaani, lakini akishakaa kwenye kiti chake na atakalosema kuhusu ndilo linafanyika...
Nadhani hapo kuna upotoshaji, ni kweli Nyerere alikuwa anashauri Rais aliyekuwa Madarakani haswa kwa mambo aliyoyaona hayako Sawa.
Wewe Pascal ulikuwepo 1993 wakati wale wabunge wa G55 walipotikisa nchi kiasi cha kumfanya Mzee Mwinyi akose muelekeo na akatunga mpaka kitabu "Uongozi wetu na...
Miye siyo mkatoliki,japo penye ukweli lazima tuseme. Tec na KKKT enzi za Magufuli ndio walikosoa wazi wazi na mpaka walitoa nyaraka kulaani ukiukwaji wa haki za binadamu nyakati hizo. Tec ndo dhehebu lilolitoa waraka wa kuipinga serikali kwa kutuaminisha jamii kutojali sana kuchukua tahadhari...
Huwezi linganisha hawa na wa huku. Traore nje ya kusoma mambo ya kijeshi pia ni Geologist.
Wale wa A/magharibi unakuta wana taaluma nyingi nje ya kuwa mjeshi tu.
Kwa nini akamatwe? Na akamatwe na nani? Na wa kumhukumu yuko wapi? Kwanza bado hajamaliza project yake ya kufichua mengi ambayo bado hatujayajua.
Na akikamatwa tutayajuaje? Tayari amefanikiwa kutuelewesha wengine ambao hatukuilewa hii NRNE kama ina uhalisia.
Alichoongea binafsi nimeamini, na...
Sasa wewe unatuambia nini wakati wenye mifumo wamesema hicho alichosema Polepole aliyeshiriki kusanifu hiyo mifumo,wamesema hakipo na haiwezekani!! Wewe unaiwakilisha taasisi ipi Sasa!!
Sidhani kama unasema kweli,ninachofahamu na kukumbuka huyu Mama Samia aliposhika dola,watu wengi waliamini ataleta mabadiliko ya kweli kama alivyoahidi baada ya kuapishwa.
Tulishuhudia watu walioikimbia nchi wakati wa Magufuli wakirudi nyumbani safi kabisa.
Akina Mange ni waislam pia walioponda...
Mimi uchaguzi wa 2020 nilikuwa nimepoteza kadi ya kupigia kura japo niliambiwa naweza kutumia kadi ya Nida na ndivyo nilivyoshiriki uchaguzi wa 2020 kupitia kadi ya Nida.
Hii taarifa aliyoitoa HP imeniacha hoi, imenifanya nijute na kusikitia sana muda wangu nilioupoteza siku hiyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.