Recent content by Mund B

  1. Mund B

    Kazi Kweli Kweli: Nani Amebadilika - Lowassa, Mimi au Wewe?

    Unaumia roho bure na unaonyesha ni msaliti siasa za kufuata mtu ni mbaya CDM ni chama cha kibepari kinachofuta mlengo wa kati ungejua hili usingeumia cha msingi ni uaminifu. Tutawapa kura tu we mfuate Slaa tuone mwishowenu.
  2. Mund B

    Mwaliko wa Dr.Slaa JF, kuzungumzia ufisadi wa CCM

    Mkuu hamna kitu hapo heri malofa wanaweza changia mabadiliko nchini kuliko hao wasomi. Kwenye uzi wako juu ya watumishi wa umma nadhani umejionea. Mwezako nipo kijijini kusihi wanakijiji wenzangu hawaniangushi. R.I.P TANU.
  3. Mund B

    Tofauti kati ya Mrema na Lowassa kwenye ugombea urais

    Tuhamue? tushahamua ni LOWASA tu 2015-2020.
  4. Mund B

    Maajabu: Muda si mrefu Mnyika ataanza kujibu tuhuma za ufisadi!

    Vp mmesha washugulikia wezi wa escrow, epa, richmond, meremeta nk au mmekalia porojo tendeni au ndio mnajifunza kuwa wapinzani maana hamna jinsi, CHADEMA asili leo wamekuwa lulu. washaziba masikio hao ni mpaka magogoni ndio watakuja kuwasikia.
  5. Mund B

    Dr. Slaa si mwisho wa misa kwa Wakatoliki

    Nimeipenda hiyo.
  6. Mund B

    Watumishi wa Umma njooni tukubaliane

    Sera au porojo? lazima nifanye kweli nimechoka kuchangia Mwenge wakati mshahara wangu mdogo, kupata promotion mpaka kudra za Mungu. Nasisitiza nitafanya kweli sirudi nyuma.
  7. Mund B

    Watumishi wa Umma njooni tukubaliane

    Tumechoka lazima tufanye kweli. kunagap kubwa kati ya HODs na watumishi wengine hijapokuwa elimu mko sawa.
  8. Mund B

    Mkakati makini kuelekea 25 oktoba, 2015

    Nipo tayari sera nimezisikia miaka dahari dahari kwa sasa ni LOWASA TU.
  9. Mund B

    Lowassa kwa Tanzania ya sasa!

    Una malaria sugu. Tumepoteza bei gani kwa skendo ya escrow, Kiwira, EPA nk leo unaona tatizo ni LOWASA tu? kiufupi tutamchagua na kamwe haturudi nyuma.
  10. Mund B

    CUF kupewa majimbo 35, NLD 5, NCCR Mageuzi 15 ni haki?

    Pilipili usiyoila yakuwashia nn?
  11. Mund B

    Imagine: Kutoka rais wa nchi hadi mwenyekiti wa chama cha upinzani

    Wakina Thomas mpaka muone ndio msadiki.
  12. Mund B

    Maalim Seif ahutubia umati wa wafuasi wa CUF Buguruni saa 3 usiku jana

    Taasisi za kisiasa nchini zimeimalika. viva CUF
  13. Mund B

    Leo Ijumaa, Agosti 7 nitazungumzia siasa zinazoendelea nchini channel 10 saa 4 usiku, karibuni

    Karibu, nategemea mchango mzuri kwa hali ya siasa ilipofikia nchini mwetu. Wazalendo wa kweli ujua mustakabali wa nchi yao na si kujifanya eti siasa ni ujinga.
Back
Top Bottom