Nahitaji mpishi wa vitafunwa na chakula kwenye mgahawa
Wali pilau biryan na vitafunwa mshahara laki 2include chakula cha mchana kwa mawasiliano 0747848885/0742009965
Location kibaha visiga
Tangazo nahitaji mpishi wa vitafunwa na chakula cha mchana na
Vyakula include pilau biryan wali wa kawaida ndizi mshahara sh laki 2 include chakula cha mchana kwangu kwa atakaehitaji awasiliane na namba 0747848885/0742009965 location ni kibaha visiga
Habari
Nahitaji mtu kwenye biashara ya visiga mgahawa ambae anaweza kupika vyakula na bites
Pilau, biryan, vitafunwa sambusa, chapati inshort kma vyakula vya Pwani urojo na kadhalika if you are intrested wasiliana nami kupitia 0742009965
Eneo Kibaha Visiga
Nahitaji wadada wawili kwa ajili ya kuhudumia kwenye mgahawa na kusaidia kazi ndogo ndogo
Awe ana uzoefu na biashara ya mgahawa anaweza kuserve, usafi.
Akiwa anakaa mkoa wa Pwani Kibaha ts advantages sio lazima kwa maelezo zaidi wasiliana na 0747848885 kwa maongezi zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.