Hivi wizara ya afya haioni wagonjwa wanaohangaika kutokana na kukosa gharama za matibabu? Watoto wanahangaika na kuteseka kwa maumivu baada ya kukosa gharama za kutibiwa. Serikali angalieni hili.
Kweli bilioni 4 au 10 iwe sababu ya kuteseka kwa mtoto wakati pesa mnatumbua ovyo
Sio aliteleza mkuu ni kweli foreign intelligence wametoa hizo data na wanadai kuwa amepiku records za MJ na Princess Diana. Ni live streaming billion 3.4 kama zile za YouTube mkuu
Basi global intelligence na foreign intelligence ndiyo waongo. Maana wao walitoa hizo data jana. Live streaming za YouTube nazo zinakuwaga za uongo kumbe. Maana Kuna mwanamuziki alipata viewer 7.8 billion inamaana dunia mzima ilimuangalia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.